Hayo maneno mkawaeleze waliozembea na kuiruhusu Zanzibar kuandika Katiba inayoitambua kama nchi yenye karibu kila kitu kasoro madaraka kamili.Na kama hizo ndizo hoja zenu za kutetea muundo wa Serikali mbili basi huo ni upuuzi na uzuzu uliopita kiwango!
