kobero mizambwa
Member
- Dec 5, 2011
- 17
- 4
Tatizo la sasa hivi ni kuwa katiba Zanzibar wamevunja katiba ya muungano
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo la sasa hivi ni kuwa katiba Zanzibar wamevunja katiba ya muungano
- Mkuu punguza hasira maneno ya Mwalimu hapa mimi sijasema kitu, kama unataka pingana na maneno ya Mwalimu Baba wa Taifa kama alivyofanya Warioba, usinilaumu mimi hapa sijasema anything punguza hasira haya sio maneno yangu kaka ni ya Mwalimu!1
Le Mutuz
Nyerere alikuwa binadamu kama wengine maneno yake siyo msahafu kuwa yasipingwe, hakuna anayetaka kuvunja muungano tatizo la huu muungano una matatizo mengi.
Watu wanaitaji muungano wenye maslahi pande zote mbili, Jaji Warioba kaeleza kero za muungano huu wa kimaghumashi.
Siyo wote wanahoji huu muungano wanataka madaraka.