Kufa c mwiko
JF-Expert Member
- May 26, 2013
- 752
- 320
baba yako hakuwa kundi la G55? W. J. Malecela
lemutuz anasikilizia mzee j.m agome kuamka amrithi cheupe.
Last edited by a moderator:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
baba yako hakuwa kundi la G55? W. J. Malecela
Kumbe mnamkumbuka tu kuhusu muungano vipi kuhusu rushwa, ufisadi na uhujumu rasilimali za taifa?
-mikataba feki unaizungumziaje?
-utawala wa kifalme unaochipuka kwa kasi unauzungumziaje?
-vyombo vya dola kuua raia wasio na hatia unazumgumziaje?
-kuwafanya wananchi watumwa katika nchi yao vp?
**KAMA KWELI MNANUENZI NA KUMKUMBUKA MWALIMU BASI MKUMBUKENI KWA MATENDO.
My take: Tanzania kwanza wageni baadae
W. J. Malecela nyie mnatubagua sana sisi wazanzibar. mnamuita nyerere ndio baba wa taifa kwani karume sio baba wa taifa la tanzania? bila karume kuna tanzania? na nyie ccm ndio mmetuchokoza hatuutaki muungano huu.
Nyerere anaweza kuwa mwasisi wa tanganyika sio tanzania maana tanzania ni muungano wa nchi mbili huru. wana ccm manachefua waznz na kwa taarifa yako sisi huku znz ni wamoja hakuna cha ccm wala cuf ndio maana tumebadili katiba yetu mishipa ya shingo inawatoka. na mtachoka sana mwaka huu.
wapuuzi sana ninyi walafi na walaghai, inapofika muda wa maslahi mnamtaja baba wa taifa kutumia maneno yake yanayoishi, inapofika wakati wa kuwatendea haki wananchi na kufisadi na kuiba maliza umma HATUSIKII YEYOTE AKINUKUU MANENO YA BABA WATAIFA, WALAFI SANA NINYI TUSHA WAZOEA. HAKUNA MWENYE UWEZO WA KUMISHI MWALIMU.
Mbona karume humnukuu aliposema muungano ni kama koti likikubana unalivua?- Kaka punguza jazba kama vipi mtukane Mwalimu ndiye aliyesema maneno hayo niliyoyaleta mimi ni messenger tu sasa mbona mnalia sana vipi maneno ya Mwalimu Baba wa Taifa yanawagusa nini ndugu zangu, ha! ha! ha!
- Hayo maneno ni msumari wa moto, ukiyasoma yanakugusu mpaka moyoni unaanza kuweweseka, ha1 ha! ha!
Le Mutuz
- Unajua sometimes ukinyamaza unaweza kuonekana una akili sana kuliko kujivua nguo namna hii, sasa unapingana na nani hapa Mwalimu au mwenyewe maana maneno ni ya Mwalimu, yaani hawa Great Thinkers wengine kweli ni shidaaa!!
Le Mutuz
vipi maneno yake ya mwisho na msimamo wake kuhusu sera ya ujamaa na kujitegemea yanazigatiwa pia?
- Sasa mkuu kosa langu ni nini hasa kuyaleta maneno ya Mwalimu au? ha! ha! ha! ha! ha! Chezeya maneno ya Mwalimu weye, wote mnaweweseka mimi simo nimeyaleta tu maneno ha! ha!
Le Mutuz
Chama Cha Mapinduzi chenye wanachama wenye akili,na ukweli,na ujasiri,hakiwezi katu kukubali sera ya serikali tatu, kikijua wazi wazi kwamba matokeo na shabaha ya sera hiyo ni kuiua, na kuizika Tanzania. Chama Cha Mapinduzi kikiwa na msimamo huo, na wala kisiuonee haya, Tanzania itadumu.
Sijui nisemeje? ulipoleta hii nukuu ya mwalimu ulikuwa na maana gani? Kwani napata shida kuelewa kama unaunga mkono nukuu hiyo au umenukuu tu na kuyaacha. Ulitakiwa ufanye uchambuzi kidogo kwani nukuu yenyewe ilishapitwa na muda kwa kuwa Zanzibar siyo ile tena wakati mwl akitoa nukuu hii.