Haya ndio Maneno ya Mwisho ya Baba wa Taifa Hili Mwalimu Nyerere Kuhusu Muungano!!

Haya ndio Maneno ya Mwisho ya Baba wa Taifa Hili Mwalimu Nyerere Kuhusu Muungano!!

Kama ni kumuenzi Nyerere, kwanini Azimio la Arusha na Miiko yake ilisiginwa na hao hao wanaotokwa na machozi ya mamba!
 
W. J. Malecela kwa nini kama mnataka serikali mbili wawakilishi wa znz watoe tamko sasa kuwa watarekebisha katiba yao. hakuna haja ya kutumia nguvu. na muwaambie znz kuwa mambo ya muungano yanatakiwa kuwa yanaongezeka sio kupungua.

Ili kuonekana kijana unatakiwa kuongea kwa fact sio kukariri maneno ya nyuma bure bure. sikujua kama wewe ni mwepesi kiasi hiki.pamoja na msimamo wa chama chako ulipaswa kuandika hapa sababu za kupendekeza serikali mbili. vijana tukiwa hivi n aibu jamani.
 
Last edited by a moderator:
mwili wako na akili zako ni tofauti yaani ww ni kichwa nazi

Jakaya Kikwete, Africa’s The Diplomatic Genius
President Kikwete has raised Tanzania’s standing in the global stage. He has made us proud as a nation, and sealed his legacy as one of the Africa’s best diplomats ever. This became evident as he received a standing ovation in his outstanding tribute to the late Nelson Mandela. Dr. Kikwete showcased his eloquence, charm, oratory and diplomatic might in his eulogy to the former a pivotal figure in the struggle to end white minority rule in South Africa Dr. Kikwete rose into political and diplomatic stardom from a very humble beginning with his political journey starting as an ordinary TANU party cadre and loyalist who served diligently in various positions before leaping into the global limelight as a diplomatic star. President endured in-party wrangles, and backstabbing, and gradually climbing the ranks of becoming Tanzania’s fourth president and Africa’s diplomatic Icon When his diplomatic genius became obvious to his ruling party CCM, the party had no choice but give Dr. Jakaya Kikwete its blessings to carry the torch, trumping eleven of his party co-aspirants. His hard-work, humility and determination, loyalty to his party and country finally paid off; his dream to become Tanzania’s chief diplomat became a reality in 2005, when Tanzania threw its overwhelming support by handing him staggering 80 percent of the votes After his sweeping victory into the presidency, President Kikwete quickly assembled top minds; the likes of Dr. Philip Mpango were tapped to steer the country into the economic Promised Land. No sooner did he assemble his economic dream team, than he jumpstarted his global diplomatic onslaught to attract foreign direct investments. For a greater part, he has outshined his peers across the continent with his diplomatic charm and savvies. President Kikwete is the only African sitting head of state with a record seven honorary degrees by universities across the planet While his peers across the great lakes region are grappling with International Criminal Court (ICC), President Kikwete is basking in diplomatic glory; He has become a global household name and a superstar, mediating conflicts across the continent. The President is aggressively and tirelessly selling Tanzania and its investment opportunities to the rest of the world, no wonder Tanzania is now the second fastest growing economy in the continent President Kikwete has placed Tanzania in the global map as unrivaled investment and tourist destination. His genius diplomatic maneuvers have attracted the world most powerful leaders, both seating and former presidents such as the US Barack Obama, and Chinese Xi Jinping. President Kikwete has hosted Chinese Hu Jintao, Bill Clinton, Jimmy Carter, George Bush and Tony Blair just to name a a few. He was the first African head of state to visit the White House when President Obama took over the oval office as the first United States Black President, and since then they have become close friends. He is also one of the few third world countries to have ever attended a G8 summit back in 2008 along with the late Meles Zenawi and John Kufuor of Ethiopia and Ghana respectively Domestically he has proven time after time that is the master of the game, cooling temperatures when the country was boiling into explosion. During the recent constitutional review, in which the ruling party CCM hurriedly passed the constitutional bill, the president prudently quelled the opposition fury by inviting them to the state house for talks over a cup of juice before returning the bill to the parliament While his diplomatic stocks have risen exponentially, his stardom and gains have not come cheaply. His achievements have earned him enemies and isolation amongst his frustrated neighbors whose fate and freedom hangs in the balance. In recent months, Rwandan president Paul Kagame, a good friend of the Kenya’s ICC inductees, and a good ICC candidate himself publicly threatened President Kikwete physical safety for having suggested a diplomatic approach –dialogue- to the Democratic Republic of Congo’s conflict Notwithstanding, the President has suffered economic challenges, and that’s not because he did not have the right policies, this is because some of his most trusted lieutenants were not so trustworthy as they pretended to be. They were economic wolves and hyenas that have displayed their carnivore’s skills, sabotaging the great economic policies and vision the President and his dream team had for Tanzanians. The bureaucrats in the economic system have frustrated and held hostage presidents global diplomatic efforts for their own interests As he nears the end of his term, he will go down history books as one of the Africa’s best diplomats ever. A man of the people, who mingled with unwashed, consoled the widows and dined with kings and queens alike. President Jakaya Kikwete is in the line to join the ranks of Bill Clinton, and Kofi Annan in global peace mediation. Before he steps into global peace-mediation upon his retirement, Tanzania public must make good use of Dr. Kikwete’s wisdom and experience. The breed of impatience; The breed of greed, arrogance, imprudence, and attention seeking self proclaimed geniuses going around the country holler at their own recklessness ought to consult with the President. The corruption riddled selfish-minded young power maniacs –presidents’ wannabe-to lower their guns and recalibrate their approach and ambitions. They must travel the same humble journey building their loyalty and unquestionable moral characters before flirting the country’s highest office These political novices need to borrow for a reading, a single chapter from President Kikwete’s book on ascendance into global power and diplomatic stardom. They may need counseling from the diplomatic genius and political master, Jakaya Kikwete himself
Mungu Ibariki Tanzania

Mdau
Kuwasiliana na Mwandishi tuma barua pepe; willymalec@gmail.com
 
W. J. Malecela kwa nini kama mnataka serikali mbili wawakilishi wa znz watoe tamko sasa kuwa watarekebisha katiba yao. hakuna haja ya kutumia nguvu. na muwaambie znz kuwa mambo ya muungano yanatakiwa kuwa yanaongezeka sio kupungua.

Ili kuonekana kijana unatakiwa kuongea kwa fact sio kukariri maneno ya nyuma bure bure. sikujua kama wewe ni mwepesi kiasi hiki.pamoja na msimamo wa chama chako ulipaswa kuandika hapa sababu za kupendekeza serikali mbili. vijana tukiwa hivi n aibu jamani.

- Mkuu punguza hasira maneno ya Mwalimu hapa mimi sijasema kitu, kama unataka pingana na maneno ya Mwalimu Baba wa Taifa kama alivyofanya Warioba, usinilaumu mimi hapa sijasema anything punguza hasira haya sio maneno yangu kaka ni ya Mwalimu!1

Le Mutuz
 
Sawa sawa!

Ndipo katika kikao cha Bunge la Bajeti cha mwaka 1993, aliyekuwa Mbunge wa Chunya, Mheshimiwa Njelu Edward Mulugale Kasaka akawasilisha hoja binafsi bungeni na kudai Serikali ya Tanganyika ndani ya Muungano ili kutoa uwiano sawa. Hoja hiyo ilipata baraka za Waziri Mkuu wa wakati huo, John Samwel Malecela 'Cigwiyemisi' na kupitishwa na Spika wa Bunge wa wakati huo, marehemu Chifu Adam Sapi Mkwawa ili ijadiliwe ingawa alizuia mjadala usiwe mrefu sana. Hata katika Bajeti ya Wizara ya Sheria na Katiba iliyokuwa chini ya Spika wa sasa Samuel Sitta, waliainisha kwamba kulikuwa na 'Waraka wa Kutaka Maoni ya Wananchi kuhusu Hoja ya Tanganyika (White Paper)'.
 
Sawa sawa!

"Kuifufua Tanganyika ni Kuiua Tanzania,Sikubaliani Kabisa na Swala hili,Kwa Sifa tu na Uroho wa Madaraka na huku Wakishabikiwa na Mazuzu kuna watu Watafanya Kila hila Zanzibar Ijitenge na Tanganyika,Nasema Dhambi hii ya Utengano na Iwatafune,Naomba Mungu anisamehe,Hakika Dhambi ya Utengano na Iwatafute hawatabaki Salama" - By.Mwl.Julius Nyerere.
 
"Nasema Dhambi hii ya Utengano na Iwatafune,Naomba Mungu anisamehe,Hakika Dhambi ya Utengano na Iwatafute hawatabaki Salama"...

Haya maneno hutamkwa na watu wasio wema, na kamwe watu wasiopata katika shauri wakitengana sio dhambi...

Nyerere sio Mungu na ndio maana leo hii hayupo tena kama ambavyo wengi wetu kesho hatutakuwepo...

Kaka huwa napata hasira sana ninaposkia baadhi ya mizoga ikisistiza kila neno la nyerere ni sheria au msahafu wa kufuata. eti maneno ya mwalimu.... nayarudia tena maneno ya mkapa "watu wasiotumia ubongo/fahamu zao kuamua mambo yao bora wangepewa uti wa mgongo bila ubongo"
haya zidumu kila fikira za nyerere.
 
"Kuifufua Tanganyika ni Kuiua Tanzania,Sikubaliani Kabisa na Swala hili,Kwa Sifa tu na Uroho wa Madaraka na huku Wakishabikiwa na Mazuzu kuna watu Watafanya Kila hila Zanzibar Ijitenge na Tanganyika,Nasema Dhambi hii ya Utengano na Iwatafune,Naomba Mungu anisamehe,Hakika Dhambi ya Utengano na Iwatafute hawatabaki Salama"
- By.Mwl.Julius Nyerere. [\Quote]

wakati akiongea hayo kulikuwa na nchi moja na serikali mbili. sasa kuna nini?

Kama alikuwa na maneno mazuri na hadi sasa mnayaona kama ni muhimu kwa ajili ya CCM ilikuwaje MKAMUUA?
 
Na vile vile structure ya muungano aliokuwa anauzungumzia nyerere sio huu wa sasa. Zanzibar walishajitenga kitambo na nchi yao na kila kitu kinachotambuliwa kwenye dola kamili.

MACCM wengi nashangaa hawalioni hili, sijuhi ni kwanini?
 
- Mkuu punguza hasira maneno ya Mwalimu hapa mimi sijasema kitu, kama unataka pingana na maneno ya Mwalimu Baba wa Taifa kama alivyofanya Warioba, usinilaumu mimi hapa sijasema anything punguza hasira haya sio maneno yangu kaka ni ya Mwalimu!1

Le Mutuz

wakati wa znz walipobadli katiba yao 2010 mliwapelekea makala hii ya mwalimu JKN? na walipokataa kwa pamoja mafuta na gesi huko visiwani kwa kuungana ccm na cuf visiwani kutetea hilo mliwapelekea hizo makala za nyerere? kama wanazidi kupunguza mambo ya muungano na wanataka yapungue zaidi serikali ya muungano itajiendesha kwa garama za wapi?
 
hata ukimfuata mkulu pale magogoni ukimwambia muungano una faida gani? atakuambia hauna faida yeyote

ccm/serekali wanachohofia muungano ukivunjika zanzibar haichewi kuwa kama somalia
na huku tanganyika hatutakuwa salama

wazazibar wengi ni watu wasiopenda kufanya kazi ni watu wanapenda kushinda vijiweni na kunywa kahawa mchana wa jua kali.

muungano ukivunjika ndio mwanzo wa kuipoteza zanzibar sababu pemba na unguja nazo zitatengana
 
Kaka huwa napata hasira sana ninaposkia baadhi ya mizoga ikisistiza kila neno la nyerere ni sheria au msahafu wa kufuata. eti maneno ya mwalimu.... nayarudia tena maneno ya mkapa "watu wasiotumia ubongo/fahamu zao kuamua mambo yao bora wangepewa uti wa mgongo bila ubongo"
haya zidumu kila fikira za nyerere.

- Unajua sometimes ukinyamaza unaweza kuonekana una akili sana kuliko kujivua nguo namna hii, sasa unapingana na nani hapa Mwalimu au mwenyewe maana maneno ni ya Mwalimu, yaani hawa Great Thinkers wengine kweli ni shidaaa!!


Le Mutuz
 
Kumbe mnamkumbuka tu kuhusu muungano vipi kuhusu rushwa, ufisadi na uhujumu rasilimali za taifa?
-mikataba feki unaizungumziaje?
-utawala wa kifalme unaochipuka kwa kasi unauzungumziaje?
-vyombo vya dola kuua raia wasio na hatia unazumgumziaje?
-kuwafanya wananchi watumwa katika nchi yao vp?

**KAMA KWELI MNANUENZI NA KUMKUMBUKA MWALIMU BASI MKUMBUKENI KWA MATENDO.

My take: Tanzania kwanza wageni baadae

you reail nailed it comrade..
 
Naunga mkono hoja. Huyu le mutuz ni kichwa nazi kabisa

- Sasa mkuu kosa langu ni nini hasa kuyaleta maneno ya Mwalimu au? ha! ha! ha! ha! ha! Chezeya maneno ya Mwalimu weye, wote mnaweweseka mimi simo nimeyaleta tu maneno ha! ha!

Le Mutuz
 
W. J. Malecela nyie mnatubagua sana sisi wazanzibar. mnamuita nyerere ndio baba wa taifa kwani karume sio baba wa taifa la tanzania? bila karume kuna tanzania? na nyie ccm ndio mmetuchokoza hatuutaki muungano huu.

Nyerere anaweza kuwa mwasisi wa tanganyika sio tanzania maana tanzania ni muungano wa nchi mbili huru. wana ccm manachefua waznz na kwa taarifa yako sisi huku znz ni wamoja hakuna cha ccm wala cuf ndio maana tumebadili katiba yetu mishipa ya shingo inawatoka. na mtachoka sana mwaka huu.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom