chabuso
JF-Expert Member
- Feb 18, 2013
- 6,380
- 5,884
Kwani lazima umnukuu Nyerere wewe mwenyewe huna akili ya kuona nini kinachoendela Tanzania....Nyerere alikuwa mwanasiasa hana tafauti na wanasiasa wengine......
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi na nina hakika tupo wengi tu hatuutakki muungano lakini si kwa nia ya kutaka vyeo au madaraka kwa hiyo maneno yake hayo hayatuhusu. Anayewalenga yeye ni wale wanaotaka kuuvunja muungano kwa ajili ya vyeo na madaraka.
Halafu binadamu gani huyo "anayewaapiza" wenzake kwa ajili tu wametofautiana kimtazamo?
Kwa nini iwe Tanganyika tu!? Je Kuhusu wanaoiomba Z'bar yenye mamlaka kamili hakutoa tamko?
Nyerere hana jipya adhabu ya kaburi iwe juu yake.
Nyerere ndio katuachia haya maupupu tuliyo nayo ..hana jipya la kumkumbuka hapa
Kweli kuungana ni kuzuri,tufanyeje kama tulioungana nao hawaupendi huu muungano?dalili za wazi kabisa mzenj hampendi mbara