Haya ndio Mapinduzi ya Zanzibar, yamerikodiwa live na waitaliano 1964

Sasa uliwah kusikia wapi mapinduzi yana fanyika bila kuuana!!?, ndo mapinduzi yenyewe yanavo kuwaga
 
িী

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nawatakia kumbukumbu njema ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar yaliyovikomboa visiwa hivi.
P
Leo tarehe 12 January ni Sikukuu ya Mapinduzi ya Zanzibar, nachukua nafasi hii kuwatakia nyote heri na fanaka za Mapinduzi na kukutakieni maadhimisho mema ya sherehe ya kumbukumbu ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar kwa watakao shereheka kwa wale wenye kumbukumbu njema, na kwa vile Mapinduzi Matukufu yale pia yaliandamana na umwagaji damu, natoa pole kwa wenye kumbukumbu chungu.
P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…