Sasa Angalia unafiki ulio fanywa na Julius Nyerere na Abedi Amani Karume. John Okelo wakampoteza kwenye ramani ya. Zanzibar na Tanzania, na Mohamed Babu wakamkimbiza nchi akaishi na kufia uhamishoni. Nadhani mnaona wenyewe hapo Babu alivyokua ana poromosha Ngeli la ukweli kuashiria kua kwa kipindi hicho alikua ni Msomi wa hali ya juu.
Enyi wa Zanzibari na Watanganyika Zindukeni sasa. Yatosha!