rubii
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 14,032
- 18,540
Ukisoma uzi zake zilizopita hana mwingine amayemponda kama Diamond Platnumz so ndie anayemsema....sijui imekuwaje ila ndio maana karusha uzi huu...kajifunza kutomtaja jina kumpa promo siku hizi...nadhani kumuona na Z wanaenda Zanzibar jana imemkologa. Ndio kaandika.
Anamuonea wivu sana anashindwa kusema waziwazi