Haya ndio matokeo / matunda ya uswahiba,ila pale hakuna kipaji

Haya ndio matokeo / matunda ya uswahiba,ila pale hakuna kipaji

Ukisoma uzi zake zilizopita hana mwingine amayemponda kama Diamond Platnumz so ndie anayemsema....sijui imekuwaje ila ndio maana karusha uzi huu...kajifunza kutomtaja jina kumpa promo siku hizi...nadhani kumuona na Z wanaenda Zanzibar jana imemkologa. Ndio kaandika.

Anamuonea wivu sana anashindwa kusema waziwazi
 
Haaahaa yaani wewe lukelo sakafu mwaka huu usipokufa kwa kihoro sijui! Btw uliona show ya jana Zanzibar na unakumbuka kiingilio kilikuwa shingap?
 
Last edited by a moderator:
mmh.sijui ndio matunda au matokeo ya uswahiba ila ki ukweli pale hakuna kipaji cha kutisha ni msanii wa kawaida sana kama msaga sumu, yetu macho ni hii ndio bongo bana. sijui baada ya uchaguzi huyu ndugu yetu atapata wapi swahiba mwingine.
Yaani we bro sema wewe,mana kila tunachofanya ili haanguke yeye ndo kwanza anazidi kufanikiwa.Tumesema jamaa Freemason haijasaidia,tukawa tunatoa ofa kwa madogo wamuimbe haijazaa matunda,tukasema jamaa mchawi anatumia waganga na tukamuweka mganga wetu wakumuharibia nayo imedunda na kama haitoshi tukaamua sasa tuwe tunazomea kila show zake ndo kwanza anazidi kupata tuzo eti sasa ndo kawa NEMBO YA TAIFA wanazidi kutuumiza.
 
Yaani we bro sema wewe,mana kila tunachofanya ili haanguke yeye ndo kwanza anazidi kufanikiwa.Tumesema jamaa Freemason haijasaidia,tukawa tunatoa ofa kwa madogo wamuimbe haijazaa matunda,tukasema jamaa mchawi anatumia waganga na tukamuweka mganga wetu wakumuharibia nayo imedunda na kama haitoshi tukaamua sasa tuwe tunazomea kila show zake ndo kwanza anazidi kupata tuzo eti sasa ndo kawa NEMBO YA TAIFA wanazidi kutuumiza.
kudaaadeki mi naiita hiyo SINDANO YA TRAKKO
 
kumchukia mtu kama diamond yataka moyo walahi, wewe dangote wewe hivi ndio nini kuwaaibisha wabaya wao this much????? cant u see how hard they do to put u down???
 
kiingilio kilikua sh ngapi make mi nkua bize kuangalia mimba ya zari

hahahahahaaa hii mimba si ni fake hii jamni, ila zari nae kanishinda wakati wenzake bado tupo kwenye analog kwa kufake mimba kwa ilee style ya kufunga matambala, yeye kaamua kumeza tikitiki maji.
 
hapa ni mti wenye matunda unapondwa mawe, ushawahi ona mtu anaponda muarobaini???

mawe nayo huchoka jamni, mawe yenyewe yameshaona huu mti wati wanauonea, khaaaa!!!??? kule IG ndio nimejikuta tena nawaonea huruma, manake sio kwa kuishiwa kule, hawana jipya tena, yule staring wao masta, nahisi hapo katikati presha ilimlaza, kuja kuzinduka akaja ni gia ya kurusha matangazo ya watu ya biashara, jpili alitoa offer ya kurushia watu matangazo yao bureeeee, I WAS LIKE WHAAAAT!!!???? this never the MBWAMASTA i used to know!!! nilipogundua kashaathirika, kesho yake akawachamba wale aliowarushia matangazo yao then hawakushukuru. nilichekaje, yaani sasa hivi kila akijaribu kuvuta hisia za kuwachamba dangote na mutoto muzuri Z anapata kizunguzungu.
 
mawe nayo huchoka jamni, mawe yenyewe yameshaona huu mti wati wanauonea, khaaaa!!!??? kule IG ndio nimejikuta tena nawaonea huruma, manake sio kwa kuishiwa kule, hawana jipya tena, yule staring wao masta, nahisi hapo katikati presha ilimlaza, kuja kuzinduka akaja ni gia ya kurusha matangazo ya watu ya biashara, jpili alitoa offer ya kurushia watu matangazo yao bureeeee, I WAS LIKE WHAAAAT!!!???? this never the MBWAMASTA i used to know!!! nilipogundua kashaathirika, kesho yake akawachamba wale aliowarushia matangazo yao then hawakushukuru. nilichekaje, yaani sasa hivi kila akijaribu kuvuta hisia za kuwachamba dangote na mutoto muzuri Z anapata kizunguzungu.
na ile picha ya mimba inabusiwa uwiiiii unaezatafuna ukwaju
 
hahahahahaaa hii mimba si ni fake hii jamni, ila zari nae kanishinda wakati wenzake bado tupo kwenye analog kwa kufake mimba kwa ilee style ya kufunga matambala, yeye kaamua kumeza tikitiki maji.
naskia kashiba matoke hana mimba
 
Back
Top Bottom