Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wivu yanini??Hongera mkuu,kila mtu hujikuna mkono wake unapofikia,na mwisho wa siku atakuja kukutana na hao wa Kayumba chuoni na maisha yataendekea...
Vimetudumaza sana mkuu angalia watu walivyo mafisadi yaani watu wanaiba vifaa vya hospital ya kwao kabisa ukiangalia ziara za viongozi ni kuongelea watu wasimamie miradi bila kuiba kila kukicha...Vile vilitujenga sana mkuu.
Ndio tupo hivyo tulivyo.
😂😂😂 nimeshangaa halafu mtoto mwenyewe hana A flatUtakuwa muhaya ama mtu wa kanda ya ziwa yani matokeo ya mwanao umeyafungulia uzi tena wa darasa la saba,, aisee
Kumbe mzazi wake mwenyewe fala basi kwa kuhitimisha hiyo ni graduu ya manyumbuWapo ukumbini na sherehe ni kubwa sana mwendo wa kukata keki dogo kafaulu darasa la 7 B, Sasa huko mbele kuna fuka Moshi huo Moto wa huko mbele sio wa kitoto
Sasa darasa la saba nayo ni matokeo ya kuturingishia kweli,, hata ingekuwa chuo, sie tunataka maokoto hayo mavyeti yenye A ya kazi gani kwetu😂😂😂 nimeshangaa halafu mtoto mwenyewe hana A flat
Kuna mtoto wa sister nakaa naye yeye aliniambia mapema, mamdogo huo mtihani naondoka na A zote. Na kweli matokeo nimefanya kupigiwa simu na headmaster ananipa taarifa namwambia mwenyewe wala hashtuki!!!
Kiswahili - A,
English - A,
Maarifa - B,
Hisabati - A,
Science - A,
Uraia - B,
Average Grade - A
Amemaliza katika shule ya English medium
Mimi baba yake ni kichwa zaidi yake ila matokeo yangu hayakuwa mazuri Kwa sababu ya hali ya maisha magumu ya familia yangu
Ni kama vile nilikuwa najisomesha mwenyewe maana sare za shule na viatu nilivyo nunuliwa na wazazi ni zile nilizovaa siku napelekwa kuanza darasa la kwanza Baada ya hapo nilijinunulia mwenyewe Kila kitu hadi namaliza darasa la saba
Huko secondary na advance ndio kabisa nilikuwa nauza maji Ili kupata naurli ya shule na mahitaji mengine ada zote nimelipa Baada ya kumaliza advance ndio nakachukua vyeti vyangu ada ilikuwa elfu 20 Kwa mwaka lakini bado familia yangu ilishindwa kulipa
Ila bumu la chuo ndio lilinifariji na kunifanya nisome chuo bila ya stress
Ila elimu niliyoipata sio elimu Bora naamini hilo 100% Yani nilikuwa nafaulu tu Kwa sababu Nina akili nyingi
Nikajiapiza watoto wangu sitaki wapitie haya na sitaki wasome kayumba kama Mimi baba yao
Nimeshindwa kuacha kumshangaa huyu ndugu yangu. Yaani kabla ya hayo anayoita matokeo mazuri alikuwa hajamfanyia assessment mwanae ili kufahamu ikiwa ana uwezo ama lah mpaka kasubiria matokea ya hisabati ya multiple choice?Shulen kwao hawakupewa majibu?
Ila sishangai, siku hizi hata Kidato Cha Nne, mtu anapata Div One alafu ana F ya Hesabu.
Darasa la ngapi walikuwa?Kuna siku nilimkuta mwalimu akisahihisha mitihani.ya wanafunzi wake.
Utaishia kucheka.
Madogo hata kuandika Railway au Mosque hawawezi.
Hata Play ground inawashinda.
Kweli Kabisa...ila sio kilaza,ni slow learner! Mimi wa kwangu namjuw vizuri ..uwezo wake .Nilikwambia jitahidi upate A ,huko mbele ni kugumu! Unaweza usipate A maisha Yako yote! Nashukuru alielewa akapambana amepata A 3!😁Kuna mtoto anaefeli darasa la saba miaka hii???
Kama mwanao yupo english medium schools na hana A hata moja basi huyo ni kiliza plus plus plus. Hamna changamoto yoyote na bado dogo afeli
Hata dogo awe kilaza namna gani matokeo yake lazima yawe njema kwenye hizo shule.
Naona St kayumba mnataka kujifariji hivi unajua kuwa hizo Pepa za Maarifa na Uraia wanazifanya Kwa lugha ya kiingereza au unadhani wamezifanya Kwa kiswahili?Hapo umeharibu ada tu
Kuna senti kayumba zimetoa A flat.
Mimi nilipata B Moja tu na A zote shule ya kijijini, na sisi tulikuwa batch la pili tangu shule ianze.
Inakuwaje English medium mtoto anapata B mbili na mzazi unachekea?
Watu hawalingani...bado mtoto anayesoma English Medium ana ufahamu na exposure kubwa kulinganisha na za kawaida! Ikiwemo Msingi Imara wa lugha ya Kgeni ..English!Hapo umeharibu ada tu
Kuna senti kayumba zimetoa A flat.
Mimi nilipata B Moja tu na A zote shule ya kijijini, na sisi tulikuwa batch la pili tangu shule ianze.
Inakuwaje English medium mtoto anapata B mbili na mzazi unachekea?
Wenzio wanaonesha kama hayo lakini ya kidato cha nne. Mwanao bado yuko mbali, si pa kumsifia hapo.Kiswahili - A,
English - A,
Maarifa - B,
Hisabati - A,
Science - A,
Uraia - B,
Average Grade - A
Amemaliza katika shule ya English medium
Mimi baba yake ni kichwa zaidi yake ila matokeo yangu hayakuwa mazuri Kwa sababu ya hali ya maisha magumu ya familia yangu
Ni kama vile nilikuwa najisomesha mwenyewe maana sare za shule na viatu nilivyo nunuliwa na wazazi ni zile nilizovaa siku napelekwa kuanza darasa la kwanza Baada ya hapo nilijinunulia mwenyewe Kila kitu hadi namaliza darasa la saba
Huko secondary na advance ndio kabisa nilikuwa nauza maji Ili kupata naurli ya shule na mahitaji mengine ada zote nimelipa Baada ya kumaliza advance ndio nakachukua vyeti vyangu ada ilikuwa elfu 20 Kwa mwaka lakini bado familia yangu ilishindwa kulipa
Ila bumu la chuo ndio lilinifariji na kunifanya nisome chuo bila ya stress
Ila elimu niliyoipata sio elimu Bora naamini hilo 100% Yani nilikuwa nafaulu tu Kwa sababu Nina akili nyingi
Nikajiapiza watoto wangu sitaki wapitie haya na sitaki wasome kayumba kama Mimi baba yao
🤣🤣🤣🤣 Maokoto ndio mpango mzimaSasa darasa la saba nayo ni matokeo ya kuturingishia kweli,, hata ingekuwa chuo, sie tunataka maokoto hayo mavyeti yenye A ya kazi gani kwetu