Haya ndiyo maajabu ya team kiba kwa diamond

Huu ni ujinga kujadili wanaume wenzenu regardless wana status gani ila kitendo cha wanaume wazima kugawana team flani ni ujinga Mkubwa
Hayo mambo tunaachia wanawake
 
Umefata nini celebrities forum?
 
Mkuu macho yako yanaona vizuri?

Hapo imeandikwa tongwa kweli??
 
tafuteni hela muepukane na njaa kazi team fulani menzenu wanapata hela nyie kazi kutukanana kwa ajili ya wanaume wenzenu, fanyeni kazi acheni hizo team hazina msaada
 
tafuteni hela muepukane na njaa kazi team fulani menzenu wanapata hela nyie kazi kutukanana kwa ajili ya wanaume wenzenu, fanyeni kazi acheni hizo team hazina msaada
huu ushauri wa kutafuta kazi peleka jukwaa husika
 
Ni ukwel kabisa mi kinachonishangaza eti wimbo ukitoka wa wcb ndan ya masaa kadhaa wameushika wote afu cha kushangaza sasa wanaanza kuuchambua neno moja moja sasa mtu unabak unajiuliza sasa hizo chuk za nin na huku nyimbo zake mnazishika ndan ya mda mfup na mnaelewa tafsir za maneno yake kwa haraka zaid kuliko hata mashabik za mond
 
Aah! kachapwe tu maana unaonekana hakuna fimbo ngeni kwako.Nani kakwambia maandishi yanapunguza nguvu za kiume?.....Mwanamke wa Simiyu?
Hahaha duh CC. me and I

Mleta uzi kasahau timu kiba account zao za mitandao ya kijamii wanapost sana Diamond kuliko kiba.
 
Wenzenu wanapiga hela kutwa kuwazungumzia wanaume wenzenu ndo nn sasa kila mmoja ana sehem yake
 
Halafu mbaya zaidi ni mwanaume,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…