Haya ndiyo Madhara ya Kuiga kila Kitu tu kwa Wazungu, wakati siyo Utamaduni wetu Sisi Waafrika ( Watanzania )

Haya ndiyo Madhara ya Kuiga kila Kitu tu kwa Wazungu, wakati siyo Utamaduni wetu Sisi Waafrika ( Watanzania )

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Happines Mdoshi (15), mwanafunzi wa kidato cha pili shule ya sekondari Nyanza, Halmashauri ya Mji Geita, ameshindwa kufanya mitihani ya Pre- Mock, baada ya kumwagiwa maji ya moto eneo la mgogoni na makalioni na mtoto mwenzie kwenye sherehe ya siku yake ya kuzaliwa.

Chanzo: EastAfrikaRadio

Hakuna Upuuzi na Ushamba nisioupenda kama huu na kuna Siku katika Birthday zangu zijazo naweza Kumfanya Mtu kuwa ndiyo 'Punching Bag' yangu hasa kwa haya Mafunzo yangu ya Ubondia ambayo nimeyaanza nikiwa naitafuta Miaka 60 yangu tokea Nizaliwe.
 

 
Mimi sijawahi kusheherekea Birthday kwa namna hizo za kipumbavu kabisa. Na utakuta ni watu wazima wanafanya huo ujuha.

Huwa naadhimisha siku yangu ya kuzaliwa kwa kuingia chumbani au kanisani na kumshukuru Mungu, natoa sadaka na kula na kunywa vizuri kimyakimya na familia.
 
Mimi sijawahi kusheherekea Birthday kwa namna hizo za kipumbavu kabisa. Na utakuta ni watu wazima wanafanya huo ujuha.

Huwa naadhimisha siku yangu ya kuzaliwa kwa kuingia chumbani au kanisani na kumshukuru Mungu, natoa sadaka na kula na kunywa vizuri kimyakimya na familia.
Hata wao wanaona umeiadhimisha kwa namna ya kipumbavu
 
Sijawahi kuelewa huonupuuzi was kumwagiana maji na kuchafuana na matope
 
Sijawahi kuelewa huonupuuzi was kumwagiana maji na kuchafuana na matope
Na haya Mazoezi yangu ya Ubondia ninayoyafanya sasa chini ya Mwalimu wake Bondia Antony Joshua simshauri Mpumbavu ( Popoma ) yoyote yule katika Birthday yangu ya Mwakani ( 2023 ) aje animwagie Maji kwani nitaamka na 'Upper Cut' moja ya maana ambayo nina uhakika breki yake ya Kwanza ama itakuwa ICU Muhimbili au Wadi Namba 26 ( Mochwari ) ya Muhimbili Hospital.
 
Write your reply...kuna mmoja juzi alikuwa amejificha mahala,eti marafiki zake wakimuona watamwagia maji na oil chafu.yani hawa wanaojiita wa kisasa wamekuwa watumwa wakubwa wa huu ujinga.
 
Mimi sijawahi kusheherekea Birthday kwa namna hizo za kipumbavu kabisa. Na utakuta ni watu wazima wanafanya huo ujuha.

Huwa naadhimisha siku yangu ya kuzaliwa kwa kuingia chumbani au kanisani na kumshukuru Mungu, natoa sadaka na kula na kunywa vizuri kimyakimya na familia.
Mimi sijawah kabisaa kusherehekea kumbukumbu ya siku yangu ya kuzaliwa.Hata siikumbukagi kwanza mpaka inapita ndio nakuja kushtuka
 
Happines Mdoshi (15), mwanafunzi wa kidato cha pili shule ya sekondari Nyanza, Halmashauri ya Mji Geita, ameshindwa kufanya mitihani ya Pre- Mock, baada ya kumwagiwa maji ya moto eneo la mgogoni na makalioni na mtoto mwenzie kwenye sherehe ya siku yake ya kuzaliwa.

Chanzo: EastAfrikaRadio

Hakuna Upuuzi na Ushamba nisioupenda kama huu na kuna Siku katika Birthday zangu zijazo naweza Kumfanya Mtu kuwa ndiyo 'Punching Bag' yangu hasa kwa haya Mafunzo yangu ya Ubondia ambayo nimeyaanza nikiwa naitafuta Miaka 60 yangu tokea Nizaliwe.
Ina maana hua unafanya birthday na ww!!
 
Happines Mdoshi (15), mwanafunzi wa kidato cha pili shule ya sekondari Nyanza, Halmashauri ya Mji Geita, ameshindwa kufanya mitihani ya Pre- Mock, baada ya kumwagiwa maji ya moto eneo la mgogoni na makalioni na mtoto mwenzie kwenye sherehe ya siku yake ya kuzaliwa.

Chanzo: EastAfrikaRadio

Hakuna Upuuzi na Ushamba nisioupenda kama huu na kuna Siku katika Birthday zangu zijazo naweza Kumfanya Mtu kuwa ndiyo 'Punching Bag' yangu hasa kwa haya Mafunzo yangu ya Ubondia ambayo nimeyaanza nikiwa naitafuta Miaka 60 yangu tokea Nizaliwe.
⁶th sense...... tuonane bro.
Uje na kauwarari
 
Mimi sijawah kabisaa kusherehekea kumbukumbu ya siku yangu ya kuzaliwa.Hata siikumbukagi kwanza mpaka inapita ndio nakuja kushtuka
Uko kama mm huwa sina huo utaratibu... Ila kuna majinga siku hiz wameanza kuomba hela za keki
 
Mimi sijawah kabisaa kusherehekea kumbukumbu ya siku yangu ya kuzaliwa.Hata siikumbukagi kwanza mpaka inapita ndio nakuja kushtuka
Ukiona hivyo ujue ushakuwa matured

Hawa watoto wanao poop kwenye diapers ndio wanao hangaika na birthday
 
Happines Mdoshi (15), mwanafunzi wa kidato cha pili shule ya sekondari Nyanza, Halmashauri ya Mji Geita, ameshindwa kufanya mitihani ya Pre- Mock, baada ya kumwagiwa maji ya moto eneo la mgogoni na makalioni na mtoto mwenzie kwenye sherehe ya siku yake ya kuzaliwa.

Chanzo: EastAfrikaRadio

Hakuna Upuuzi na Ushamba nisioupenda kama huu na kuna Siku katika Birthday zangu zijazo naweza Kumfanya Mtu kuwa ndiyo 'Punching Bag' yangu hasa kwa haya Mafunzo yangu ya Ubondia ambayo nimeyaanza nikiwa naitafuta Miaka 60 yangu tokea Nizaliwe.
Ila Wasukuma bwana, basi tu Mungu anawaona😱
 
Huu utamaduni umebuniwa huko huko nafikiri
Kazini huku kila wakati wa birthday ya mmoja wetu huwa inaletwa cake na kukata Basi
Kama ni sherehe inakuwa ya furaha ila huu upumbavu eti wa kumwagiwa oil chafu au kutupwa kwenye mtaro ni baadhi ya watu wasiostaarabika na ni upunguwani

Mimi sisherehekei bali Kuna marafiki huwa wananipa salamu za kuzaliwa

Ingawa najua bora kuhuzunika kwani siku za kuondoka zimekaribia badala ya kufurahia [emoji24]
 
Back
Top Bottom