Haya ndiyo magari natamani kuyamiliki nikishika pesa nzuri

Haya ndiyo magari natamani kuyamiliki nikishika pesa nzuri

Llio 002

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2015
Posts
1,636
Reaction score
2,053
Habari wana jf haya ndio magari yangu mawili nnayo yapenda na ninatamaninkuyamiliki pale nitakapotembelewa na pesa. Magari hayo ni kama nilivyoweka picha zake hapo chini pamoja na bei zake za ku import pamoja a clearing hapo Dar port pamoja na Tra Tax kama inavyojieleza hapo chini kama utakuwa na mchango wowote karibu hapo chini uchangie
BF826400_d97397.jpg
Screenshot_20180601-205329.jpg
Screenshot_20180601-205304.jpg
BF826400_0db590.jpg
BF800610_dcbfe5.jpg
BF800610_f73ec4.jpg
Screenshot_20180601-204102.jpg
Screenshot_20180601-203934.jpg
 
  • Thanks
Reactions: CAY
Kwa kweli we ni mhenga
Nkajua ntakuta Benz S Class,Vogue nk ilaa..shape ya nyuma kwny hizo gari unaipendea nini?..
 
Habari wana jf haya ndio magari yangu mawili nnayo yapenda na ninatamaninkuyamiliki pale nitakapotembelewa na pesa. Magari hayo ni kama nilivyoweka picha zake hapo chini pamoja na bei zake za ku import pamoja a clearing hapo Dar port pamoja na Tra Tax kama inavyojieleza hapo chini kama utakuwa na mchango wowote karibu hapo chini uchangieView attachment 791631View attachment 791632View attachment 791633View attachment 791634View attachment 791637View attachment 791638View attachment 791639View attachment 791640

Duh... ukiwa na hela utaelewa
 
Kila mtu na choice yake...kibongobongo si ajabu mtu kuwa na dream ya kuendesha magari hayo sababu hata barabarani magari mengi yaliyojaa ni ya zamani sasa mnaomshangaa mnadhani exposure ya magari makali anaitoa wapi ilhali magari mengi yanayomzunguka na anayoyaona ni ya zamani?
 
Back
Top Bottom