Gordita
JF-Expert Member
- Nov 4, 2013
- 11,564
- 55,570
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]duuuh umenifanya niangalie thread ni ya mwaka gani .. una pigo za kihenga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]duuuh umenifanya niangalie thread ni ya mwaka gani .. una pigo za kihenga
Hizo ni van au ni hatchback?Naona unapenda sana van
Matakapela go ago masokela, new nsyukilwe fijo I figwiligina ifya nkajaKule kwetu Tukuyu haya tunatumia kusanya wauza maparachichi kutoka Ngujubwaje ndani huko kuja mjini
Magari ya zamani yanakula sana wesekm 20 lita 1[emoji16]
Nina mitazano miwili tofauti kwenye hii post yakoHabari wana jf haya ndio magari yangu mawili nnayo yapenda na ninatamaninkuyamiliki pale nitakapotembelewa na pesa. Magari hayo ni kama nilivyoweka picha zake hapo chini pamoja na bei zake za ku import pamoja a clearing hapo Dar port pamoja na Tra Tax kama inavyojieleza hapo chini kama utakuwa na mchango wowote karibu hapo chini uchangieView attachment 791631View attachment 791632View attachment 791633View attachment 791634View attachment 791637View attachment 791638View attachment 791639View attachment 791640
Hata kwa Mimi lingenifaa kuwa nauzia majeneza na vumbi la Kongo mitaanini kwajili ya kukodisha kwenye msiba na kuuzia vyandarua au la kutembelea
Duh.Yaah kwa biashara ya kuuza mikate yanafaa sana
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji23] [emoji23] sasa ndugu yangu jini kisirani hiyo unayota wewe ni bajajmi saiz nauza opa yangu maana wese mikoani limefika 2450/= nataka gari ya 650cc ili kupunguza stress za barabarani
kuna gari nzuri tu za 650cc ngoja nilete picha zake[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji23] [emoji23] sasa ndugu yangu jini kisirani hiyo unayota wewe ni bajaj
نتيجة بحث Google عن الصور حول https://www.aajapancars.com/images/stockimages/LA300S-1424997-1.jpg[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji23] [emoji23] sasa ndugu yangu jini kisirani hiyo unayota wewe ni bajaj
Bajaj ilikuwa ni mfano tu. Nafikiri nimelemazwa na engine kubwa
Ndio mamlaka yetu ya mapato hiyo hapo bado vikolokolo vinginegari milioni 2,ushuru 5m, au mimi ndio sijaelewa?
gari milioni 2,ushuru 5m, au mimi ndio sijaelewa?