Ahahahahaaaa mi nikajua kuna vitu vya maana kuja cheki ikanibidi nicheka tuduuuh umenifanya niangalie thread ni ya mwaka gani .. una pigo za kihenga
Habari wana jf haya ndio magari yangu mawili nnayo yapenda na ninatamaninkuyamiliki pale nitakapotembelewa na pesa. Magari hayo ni kama nilivyoweka picha zake hapo chini pamoja na bei zake za ku import pamoja a clearing hapo Dar port pamoja na Tra Tax kama inavyojieleza hapo chini kama utakuwa na mchango wowote karibu hapo chini uchangieView attachment 791631View attachment 791632View attachment 791633View attachment 791634View attachment 791637View attachment 791638View attachment 791639View attachment 791640
Unanunua gari US$ 21 sasa Tsh zisizozidi 50,000/- ushuru milioni 5?Nafikiri ulikusudia kuonyesha gharama za ununuzi zinavyotofautiana na USHURU nchini.
TRA Mungu anawaona