Fisi wa Dar
Member
- Apr 2, 2018
- 69
- 52
Kuyachosha macho na kutafuta usingizi tu.What is so special here?
JF ni mtandao wa kijamii. Unataka special nini?What is so special here?
Mkuu mbona unelisahau jina lako kwenye hiyo list,1. Ufyudhi (angalia avator yake ucheke mpaka uanguke)
2. Nichumu nibebike
3. Kibanga ampinga mkoloni
4. Mlinzi mfu
5. Pilipili kichaa
6. 900 inapendeza zaidi
7. Mgeni wa MUNGU
TUPIA MENGINE
.Mkuu mbona unelisahau jina lako kwenye hiyo list,