Haya ndiyo maneno ya Flora Mbasha kwa mumewe

Haya ndiyo maneno ya Flora Mbasha kwa mumewe

Ama kweli wewe ni lawyer. Hujui hata lawyer/client privilege kwamba hutakiwi kusema ulichoambiwa na client wako huku kukiwepo na risk ya kwamba inaweza kutumika kwenye case ikibidi.

Kaongea nin hapo unachoweza kuenda nacho shaurin?
 
Mmmmmmmhh kumbe ni kwl ndoa yao ina misuko2 nina rafiki yangu mtangazaji wa radio wapo aliwasimamia ndoa yao alishaniambia mara nyingi sana kuwa ndoa yao ina mtafaruku...any way move on frola ila hakuna couple niliyokuwa naipenda kama yenu!!so sad

Wewe Anna Mwakaringa naona hilo boksi lililo juu ya mabegayako halina busara hata kidogo...."umetaja kuwa mtangazaji wa wapo aliosimamia ndoa yao" amekuuzia hizo nyeti...huoni kuwa unam-expose mwenzako??
 
Wewe Anna Mwakaringa naona hilo boksi lililo juu ya mabegayako halina busara hata kidogo...."umetaja kuwa mtangazaji wa wapo aliosimamia ndoa yao" amekuuzia hizo nyeti...huoni kuwa unam-expose mwenzako??


Sijamtaja jina lake lkn best!!! Dah ishakuwa kesi hii mungu Wangu!!
 
Sijamtaja jina lake lkn best!!! Dah ishakuwa kesi hii mungu Wangu!!

Huitaji kutaja jina ili waweze kujua mtu aliyetoboa siri....kuna vitu viwili vya msingi umevitaja kuhusu mtu aliyekupa huo umbea ambavyo vitamfanya ajulikane kiurahisi...
1. Ni mfanyakazi wa Wapo Radio
2. Alisimamia harusiyao

Unless kuna wafanyakazi wengi wa Wapo Radio walisimamia hiyo harusi
 
Ama kweli wewe ni lawyer. Hujui hata lawyer/client privilege kwamba hutakiwi kusema ulichoambiwa na client wako huku kukiwepo na risk ya kwamba inaweza kutumika kwenye case

Ndo ma lawyer wetu
 
Picha ninayoipata kwenye saga hili zima ni kuwa:
1. Flora Mbasha ni kichwa maji
2. Flora Mbasha alipenda mzimamzima na hakujibakisha, na kwa sababu ya 1 ndio ikawa anajiingiza utumwani.
3. Flora Mbasha hawezi kujiongoza, jamaa akatake advantage na kuwa kiongozi haswa wa kila kitu, maana kutokuwa na account na kazi unafanya wewe ni zaidi ya upumbavu.
4. Mme wake ni msanii haswa na ni mjanja wa mjini, na ana akili za kijanja aka za kitapeli.
5. Kutokana na 1,2 na 3, Flora ata hawezi kujieleza na hawezi kueleweka na kutokana na 4, Flora ata akiongea maelezo marefu kiasi gani haeleweki na huyu mme wake anamchomekea neno moja dogo tu na kumfanya Flora aonekane hafai na hivyo kuua kabisa namna pekee anayoweza kujisaidia kimaisha kwa kupitia sanaa, kwa mme wake anachofanya ni ile TUKOSE WOTE, HATAKI KUMRUHUSU FLORA AENDELEE KUUZA KWENYE HUDUMA, AISHIE HAPA.

Maeneo ninayodhani anachomekewa ni pamoja na kujenga mazingira kuwa Flora Mbasha ni malaya, ingekuwa kweli angetoa maelezo marefu lakin kwa ajili ya usanii anatoa juu juu tu kujenga mazingira kisha yeye anakaa pembeni na kumuacha Flora anaangaika kwenye tope, ata ya kusema hajatembea nae muda mrefu kujenga mazibgira kuwa mtoto sio wake yawezekana ni ujanja huohuo.Na hawezi sema kuwa yupo tayari kwa DNA.

All in all, kwenye hili Saga hakutakuwa na mshindi japo ukiliangalia hili vizuri inaonekana kuwa FLORA NI INNOCENT lakini kwa SABABU YA UJINGA WAKE HAWEZI KUJISAFISHA NA KINYESI HIKI, YAWEZEKAMA AKAFA NACHO.

Hivyo ni wazi kuwa kwa saga hili mwisho wa siku wanakosa wote. Huyu jamaa ANAKOSA MGODI WAKE WA KUVUNA PESA na FLORA Mbasha anakosa biashara yake ya UIMBAJI.Na jamaa nae hizo pesa chache alizonazo baada ya muda mfupi zitampukutika na wote wanaanza ground 0 na kubakia kukumbuka kuwa MAJUTO NI MJUKUU.
izo milioni 50 za flora alizoacha kwenye account ya mbasha, mbasha amesema ameshafungua mabucha ya nyama tz nzima. mabucha yake yanaitwa mbasha. nilimsikia akihojiwa na clouds tv
 
Flora Mbasha ajue Malaya ni Malaya tu. Angesema lini kama asingezaa haramu.

kweli kabisa anajaribu kujisafisha kwa jamii lakn anasahau kuwa yupo anayejua kila kitu na hafichwi kitu....

Sisi hatujui nan mkweli na nani muongo ila Mungu wao ndio anajua
 
katibasitti;
Umefanya vizuri kuandika humu jf lakini hukufanya vyema. Kama weye si Flora Mbasha basi usikubali kubeba mizigo ya wengine.
Hawa wawili kila mmoja anataka aonekane ka si yeye anamchafua mwenzake bali watu wa kando kando ka akina katibasitti. Nasema; mtu asikubali kuubeba msalaba wa mwingine. Jiulize, alikuwa wapi asikuambie hayo mambo mpaka leo? Kana ni jema. kwa nini asiandike yeye mwenyewe? Huu ni umbeya na wambeya hawana nafasi mbele za Mungu. Aliisha amua kukaa kimya basi aendelee kukaa kimya vivyo hivyo. Yupo aliyekuwa anaona unyama huo, ndiye angelimpigania. Tunaye mwamba imara awezaye kutushindia vita vyetu. JF haiwezi kusuluhisha nyumba ya Flora, wala hakuna mwanadam awezaye kusuluhisha nyumba yake Flora. Ni Mungu tu.
tatizo kubwa, mtu anapokuwa amemwacha Mungu hutamani aende na wengi. Hapana. Mwambie Flora asifunguke zaidi. Aachane na media. Angejiimbia nyimbo zake na kama hana hatia mbele za Mungu, Mungu angemtetea. Sasa ameamua JF tumteteee? Wana muuliza, na kale kamtoii ni ka Mbasha au 'jima??
Acha kelele humu JF, tulia mbele za Mungu ndipo utauona utukufu wa Mungu. Sasa hivi, watakuzushia kuwa unataka kuivunja nyumba ya mtu. Ohoooo

kweli kabisa mkuu,, anataka sympath ya wanajf sisi wala hayatuhusu ,,, Mungu wao ndio anajua yote
 
Inawezekaana anayosema huyu dada yana ukweli ndani yake lakini jamaa nae ana mambo ya kizamani sana sasa unalala na panga kisa kumtisha mkeo si ujinga huo. Wanaume wengine hamnazo kabisaa.

una uhakika? Na kama ni kweli kwann hakuyasema tangu mwanzo anakuja kuyasema baada ya yeye kuzaa na Gwajima?

Wote ni walewale kasoro majina
 
jamani, flora angekuwa mzoefu wa tigo, angekuwa alishampa tigo mbasha wala asingekimbia na kusema hapa kuwa alilazimishwa. ninasikia wanasema mtu akitoa tigo anakuwa ameonja sukari atatoaga tigo maisha yake hivyo flora ndio angekuwa anamlazimisha ima kuliwa tigo na sio emanuel kuitaka tigo kwasababu flora angekuwa alishaonja na wanasema tigo ikionjwa itakuwa inawasha hivyo flora asingelalamika. ANALALAMIKA KWASABABU hakuzoea na hajatoa tigo na jamaa alikuwa analazimisha. labda kama kuna mwanaume huku atakayekuja kusema alishawahi kumtongoza flora akampa na tigo ndio atuthibitishie na ushahidi wake aulete akielezea na flora alivyo huko kwenye tigo na k kama kuna makovu kama kuna uvimbe kama kuna chochote aseme ili tuamini. otherwise, mnamkosea sana kusema alikuwa anatoa tigo, mbona huyo mwanaume mnamwamini sana jamani wakati watu wanazijua sana tabia zake? mbona huyo mwanaume amerekodiwa akiomba msamaha kwa yule binti na recorded sound hiyo ipo humuhumu? ajabu yake watu wanamsema flora ambaye hakuna hata ushahidi unaothibitisha kuwa flora ni malaya, wala kuwa analala na gwajima.

kama flora malaya, leteni ushahidi. utasema ushahidi ni mbasha, mbasha alete ushahidi basi. kuna asilimia kubwa sana anachosema flora kikawa cha kweli na ndio maana flora hataki kurudi kwa ima.

dah! Au ww ndio frola nn?

Hivi kama haya ni yakweli kwann hajayasema sku zote tangu alipoondoka kwa Imma?

Anasema aliifanya siri sasa ni nn kilichomfanya leo aropoke jf na kwann asingeyapeleka kwa wazee wao au kwa wasimamizi wa ndioa badala yake anayaleta hapa jf wakat anajua jamii inajua anakichanga cha mchepuko?

Hii ni drama tu, aache usanii yeye anatuhadaa sisi lakn amesahau kuwa Mungu anaona kila kitu
 
ki ukwel mfa maji ndo huyu..!!!
sasa kikubwa kinachomsumbua ninini? ameshaamua kuondoka sasa kwanini kusaka huruma za huku jf!!?

Frola tunakujua!!! tulia huko maana usitake uchafuliwe kiac hutoweza amin!! watu wamenyamaza sio hawana midomo, ila wanamambo ya kufanya!! tigo yenyewe ushagawaga miaka huko, au unataka tuanze kuongea ulivyokutwa humo mwilin, ima kakuliza, ila coz changu ni changu umeona kipaji chako kitakufa, na shukuru ulizaliwa familia inamjua Mungu unless wewe ulikuwa mcheza muvi za pono tu!!! kaa kimya huko

alaaaa unaficha niniii..........Baelezeeee sisi bana
 
jamani, flora angekuwa mzoefu wa tigo, angekuwa alishampa tigo mbasha wala asingekimbia na kusema hapa kuwa alilazimishwa. ninasikia wanasema mtu akitoa tigo anakuwa ameonja sukari atatoaga tigo maisha yake hivyo flora ndio angekuwa anamlazimisha ima kuliwa tigo na sio emanuel kuitaka tigo kwasababu flora angekuwa alishaonja na wanasema tigo ikionjwa itakuwa inawasha hivyo flora asingelalamika. ANALALAMIKA KWASABABU hakuzoea na hajatoa tigo na jamaa alikuwa analazimisha. labda kama kuna mwanaume huku atakayekuja kusema alishawahi kumtongoza flora akampa na tigo ndio atuthibitishie na ushahidi wake aulete akielezea na flora alivyo huko kwenye tigo na k kama kuna makovu kama kuna uvimbe kama kuna chochote aseme ili tuamini. otherwise, mnamkosea sana kusema alikuwa anatoa tigo, mbona huyo mwanaume mnamwamini sana jamani wakati watu wanazijua sana tabia zake? mbona huyo mwanaume amerekodiwa akiomba msamaha kwa yule binti na recorded sound hiyo ipo humuhumu? ajabu yake watu wanamsema flora ambaye hakuna hata ushahidi unaothibitisha kuwa flora ni malaya, wala kuwa analala na gwajima.

kama flora malaya, leteni ushahidi. utasema ushahidi ni mbasha, mbasha alete ushahidi basi. kuna asilimia kubwa sana anachosema flora kikawa cha kweli na ndio maana flora hataki kurudi kwa ima.

mtoto aliyezaliwa juzi baba yake ni nani?

1/wakwako
2/wa imma
3/Gwajima


jibu...... ..............
 
mtoto aliyezaliwa juzi baba yake ni nani?

1/wakwako
2/wa imma
3/Gwajima


jibu...... ..............
kwani wewe baba yako nani? inawezekana baba yake sio yule unayemdhania kwasababu haujui tabia za mazaako. ulishawahi kumwuliza mamako hilo swali? sasa mbona unang'ang'ania kujua mtoto wa flora ni wa nani wakati wewe mwenyewe hauna uhakika kama baba yako ndiye yule? pengine mimi ninayeandika hapa ni baba yako you never know.....hilo ni suala la mbasha na flora, usisikilize magazeti.
 
Ubungoubungo;kwani wewe baba yako nani? inawezekana baba yake sio yule unayemdhania kwasababu haujui tabia za mazaako. ulishawahi kumwuliza mamako hilo swali? sasa mbona unang'ang'ania kujua mtoto wa flora ni wa nani wakati wewe mwenyewe hauna uhakika kama baba yako ndiye yule? pengine mimi ninayeandika hapa ni baba yako you never know.....hilo ni suala la mbasha na flora, usisikilize magazeti.

Flora Mbona kama una jazba sana katika hili?
Umeambiwa ujibu tu lakini yanakutoooka.
Sie tupo nyuma yako, punguza Jazber Flora.
 
huwez shindana na mwanamke kwenye kuchafuana, hizi ndio zao kidogo anasingizia ulikua unamuomba tigo, mara cjui ulikua unampiga nk uongo mtupu!!!

kama ni kupigwa inawezekana huyu jamaa alianza kumpiga baada ya kugundua anatembea na mchungaj si zaid ya apo, kwa iyo anaomba talaka baada ya kuzaa nje ya ndoa au? lini alianza kutembe a nje ya ndoa hadi akapata mimba?

binti aliyebakwa mbona mkubwa sana? alafu anazungumzia kabakwa mara kadhaa kweli huyu binti unabakwa mara kadhaa unaona shega tu?

mnyonge mnyongen haki yake mpen!!!
 
Hakuna mwanamke hata mmoja ambaye wakiachana na mumewe atamsifia kuwa alikuwa akimpenda na kumjali hayo ni ya kawaida sana NDOA hizi jamani
 
Back
Top Bottom