Haya ndiyo Maoni yangu kuhusu Usajili wa Simba, Yanga, Azam na Singida Fountain Gate na naomba yaheshimiwe tafadhali

Yanga hata akiweka kikosi cha tatu wana uhakika wa kuwafunga Azam na Singida wakati Simba inabidi kila mechi apambane haswa. Tofauti iko hapo.

Niliwahi kusema, Simba inabidi wacheze mechi kadhaa za Yanga hasa mwanzoni mwa msimu ili wadondoshe points. Hivi hivi, sijui.....
 
Unanichukia na hunikubali halafu Kutwa ( 24/7 ) bado tu unanifuatilia hapa JamiiForums.
Naifuatilia JF, sio wewe. Kwani wachungaji wakiorodhesha maovu ya shetani, maana yake ni kwamba wanamfuatilia? Tutaendelea kuorodhesha maovu ya shetani humu JF maana ni jukwaa letu. Sasa akikatiza shetani lazima tuwaonye wanadamu juu ya unafiki wake

 
Upo sahih braza popoma


Lkn umesahau kuwa watan wetu tutawadunda nje ndan
 
Naifuatilia JF, sio wewe. Kwani wachungaji wakiorodhesha maovu ya shetani, maana yake ni kwamba wanamfuatilia? Tutaendelea kuorodhesha maovu ya shetani humu JF maana ni jukwaa letu. Sasa akikatiza shetani lazima tuwaonye wanadamu juu ya unafiki wake
Kwahiyo nawe Unakubali kuwa hata Waliohangaika 6X6 kutuletea Watanzania Matatizo Tukuka Wewe nao pia ni Mashetani kama unavyowaita Wengine hivyo?
 
Mtoa mada mwenyewe sasa
 

Attachments

  • FB_IMG_16903715704551378.jpg
    29.9 KB · Views: 3
Babatov ilifanyika nn airpot huko mbele. Yote yanayo fanyika hapa tz huko mbele ndio waalimu wetu. Zile hijack zinazotangazwa na fabrizio ni nini..?
 
Umekula nn leo....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unatoa nyuzi nying mara simba bingwa, azam bingwa, then Leo yanga bingwa.
Popoma ni kama mtu ume bet match moja, mikeka mitatu.
1. Win
2. Draw
3. Lose
Hapa lzm upate mmoja. Huna chochote
 
Genta wakati fulani unaongea ukweli mtupuπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Yanga SC

Imesajili Kiufundi na Kimkakati

Ni kweli Yanga imesajili vizuri, lakini nina wasiwasi kwamba kutokana na kubadilisha benchi lote la ufundi inaweza ikawapa shida kwenye kurudia mafanikio ya msimu wa pili wa Nabi...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…