Haya ndiyo maridhiano tuyatakayo wananchi dhidi ya Serikali

Haya ndiyo maridhiano tuyatakayo wananchi dhidi ya Serikali

Maridhainao ni chaka la wanasiasa kukaa mezani na wanasiasa hakujawahi kuwa na shida hiyo hata kidogo si unaona mbowe siku hizi abweki tena kama zaman licha ya kuwekwa ndani na saa100 mwenyewe

..tatizo tunawaandama wanasiasa wanaonunuliwa badala ya wanasiasa wanaonunua wenzao.

..wanasiasa wanaonunua wenzao hawafanyi hivyo kwa kutumia fedha binafsi, wanatumia fedha za umma ambazo ni kodi zetu wananchi.
 
Wanasiasa wanapigania maslah Yao wenyewe.

Wakulima na makundi mengine tuinuke kupambania maslah yetu kama wafabiashara wa kariakoo walivofanya.

..itabidi uunde chama cha wakulima na hakitakuwa na tofauti na chama cha siasa.
 
..itabidi uunde chama cha wakulima na hakitakuwa na tofauti na chama cha siasa.
Kuelekea kuandika Katiba mpya,

Nchi yetu ni ya wakulima na wafanyakazi,

Vyama vinatakiwa visizidi vitatu,

Imagine chama Cha MAPINDUZI kinamtetea nani, na kilimpindua nani?

Vifutwe vyote tuanze UPYA.
 
13: Tukae chini tukubaliane kuwa ni MWIKO watumishi wa Serikali wa Umma Hasa viongozi wa level ya juu kufanya biashara.

Jambo hili linasababisha watumishi hao kuinflate Bei za bidhaa au huduma kuliko kawaida sababu ya connection na kulindana.

Mzigo wanaomsababishia MKULIMA na mfanyakazi ni mkubwa.
Sasa tayari ndo washakua na biashara, tuliachia hii, wengine wana makampuni kabisa ambayo yanashinda tenda kwenye ofisi wanazoziendesha! Mbaya zaidi hizo biashara zenyewe hazjasajiliwa kwa majina yao
 
Sasa tayari ndo washakua na biashara, tuliachia hii, wengine wana makampuni kabisa ambayo yanashinda tenda kwenye ofisi wanazoziendesha! Mbaya zaidi hizo biashara zenyewe hazjasajiliwa kwa majina yao
Kufanya Biashara Si DHAMBI,

Wafanyabiashara wanaingia kundi la wafanyakazi.

Muhimu siasa iwe separated na uongozi wa umma kisiasa.

Mbona uingereza wameweza?

Siasa ni kujitolea sio KAZI!!

KAZI ni KILIMO, biashara nk nk, kiongozi shart awe na shughuli zake na zinatambulika, anazikabidhi ikiwa anataka kumtumikia wananchi.

Saiz vijana wanaona siasa kama ajira wakati Si Kweli.
 
Back
Top Bottom