Tundapori
JF-Expert Member
- Aug 12, 2007
- 650
- 276
Kura za desimali hata mie sikubali. huo ni urongo tu.
Kura za desimali zinapatikanika kwa wagombea: Kikwete, Lipumba na Dr Slaa. Hakuna hata kura moja ya desimali kwa wagombea Rungwe, Peter na Mugahywa.
Matokeo ya ajabu haya au yawezekana JF imeingiliwa kama kawaida tokea shughuli za uchaguzi zimeanza.