Haya ndiyo matokeo ya shule ya sekondari ya kata atokayo mwigulu nchemba

Haya ndiyo matokeo ya shule ya sekondari ya kata atokayo mwigulu nchemba

Mdwenke

Member
Joined
Jul 16, 2012
Posts
78
Reaction score
55
mtakumbuka kuwa mheshimiwa naibu waziri wa fedha mwaka jana aliisifia serikali kupita kiasi kuwa inachapa kazi kwa kile kilichoitwa kustandardize matokeo. Leo hii ona matokeo ya wanafunzi waliomaliza kidato cha nne mwaka jana (2013) katika shule ya kata atokayo yeye. Ikumbukwe kuna watoto wa kaka zake, wajomba zake jirani zake, ndugu jamaa na marafiki zake na wapiga kura wa kata yake ambao wana watoto pale. Ila inasemekana serikali naye anaisimamia serikali vizuri kwa kufaulisha kwa kiasi hiki. Hongera nchemba pole kwa wapiga kura
 

Attachments

wengine simu hazifungui

sasa si utafute kifungulio? Ama nenda kwenye internet cafe kama simu yako haiwezi kufungua ila kwa kifupi ni haya

[h=3]s2646 kyengege secondary school
[/h][h=3]div-i = 0 div-ii = 0 div-iii = 5 div-iv = 24 div-0 = 21[/h]
 
Wamejitahidi......ptuuuuuuuuuuuuuuuu.what a shame
 
Kwani Nchemba ndo aliowafundisha au?, acheni majungu!
Bajeti ya mwaka jana alisikika akisifia kwamba inipa vipao mbele kweje maendeleoa huku akibeza ya upinzani do you remember sasa cha ajabu utakuta jimboni kwake walimu ni shida bro
 
Duuu savimbiii salamu zako mzee , kumbe unaileta simba umeshindwa leta hata walimu kweli mwigulu hovyooooo
sasa si utafute kifungulio? Ama nenda kwenye internet cafe kama simu yako haiwezi kufungua ila kwa kifupi ni haya

[h=3]s2646 kyengege secondary school
[/h][h=3]div-i = 0 div-ii = 0 div-iii = 5 div-iv = 24 div-0 = 21[/h]
 
Bajeti ya mwaka jana alisikika akisifia kwamba inipa vipao mbele kweje maendeleoa huku akibeza ya upinzani do you remember sasa cha ajabu utakuta jimboni kwake walimu ni shida bro

Wanafunzi wanasoma miaka minne (4) wewe unataka bajeti ya mwaka mmoja ibadilishe matokeo, kweli?
 
mtakumbuka kuwa mheshimiwa naibu waziri wa fedha mwaka jana aliisifia serikali kupita kiasi kuwa inachapa kazi kwa kile kilichoitwa kustandardize matokeo. Leo hii ona matokeo ya wanafunzi waliomaliza kidato cha nne mwaka jana (2013) katika shule ya kata atokayo yeye. Ikumbukwe kuna watoto wa kaka zake, wajomba zake jirani zake, ndugu jamaa na marafiki zake na wapiga kura wa kata yake ambao wana watoto pale. Ila inasemekana serikali naye anaisimamia serikali vizuri kwa kufaulisha kwa kiasi hiki. Hongera nchemba pole kwa wapiga kura
Kazi ya kuvaa skafu kumbe hana lolote.Anafuatilia chadema tu na kufanya ugaidi,shule ina fulia hivi
 
Hizo hela anazo chezea kumpa ZZK asaliti cdm si ange toa kwenye shule ili nao wasiwe na akili kamazake?
 
sasa si utafute kifungulio? Ama nenda kwenye internet cafe kama simu yako haiwezi kufungua ila kwa kifupi ni haya

[h=3]s2646 kyengege secondary school
[/h][h=3]div-i = 0 div-ii = 0 div-iii = 5 div-iv = 24 div-0 = 21[/h]

Hii ni hatari kubwa
 
Ningefurahi siku moja wangekuwa wanatoa na takwimu za afya, eg idadi ya watoa huduma, vifo, etc wengi pia wangeumbuka. Ni mtazamo tu
 
Bajeti ya mwaka jana alisikika akisifia kwamba inipa vipao mbele kweje maendeleoa huku akibeza ya upinzani do you remember sasa cha ajabu utakuta jimboni kwake walimu ni shida bro

Embu nenda kaangalie matokeo ya kidato cha nne kwenye majimbo ya Kiongozi mkuu WA kambi rasmi ya upinzani na mnadhimu mkuu WA kambi rasmi ya upinzani bungeni!
 
Back
Top Bottom