Haya ndiyo matukio yaliyonifanya niidharau michuano ya Kombe la Mapinduzi

Haya ndiyo matukio yaliyonifanya niidharau michuano ya Kombe la Mapinduzi

(1) Mchezo wa Simba sc vs APR hapa Kuna tukio lilinishangaza Mchezaji Onana hakuwepo hata sub, na nilimuona Jukwaani lakini mchezo ulipochezwa dakika 45 za kwanza kumalizika kwa timu bila kufungana Cha kushangaza kipindi Cha pili Onana aliingia uwanjani na kulisakata kabumbu kwa kweli hili lilinishangaza sana na kunidharau hii michuano ya Mapinduzi cup.

(2)Mchezo wa Mlandege vs APR ya Rwanda, Kuna goli lilifungwa lilikua ni clear kabisa bila ya kupepesa macho Cha ajabu marefa wote walikaa kimya na kufuata maamuzi ya Refa wa Kati kuwa siyo goli, niliona APR wamehujumiwa waziwazi bila kificho.

Kocha wa APR alisemakuwa "hatutoshiriki Tena michuano ya Mapinduzi cup kutokana na uhuni wa marefa kuchezesha mpira kwa kupendelea"

NALIA NGWENA naungana na APR ya Rwanda na kusema kuwa sitopoteza muda wangu kuangalia michuano ya Mapinduzi cup kipindi kingine.

(3)Singida fountain gate vs Simba sc ile Kona waliyopewa Simba sc na kusawazisha kwa akili ya kawaida marefa walikuwepo walitaka Simba sc washinde na kweli walifanikiwa kwa asilimia mia moja kwa kuhakikisha Simba sc inashinda.

SINGIDA walihujumiwa kwa silimia mia wao walistahili kucheza fainali na si Simba sc.

Nawasilisha hoja.
Mkuu umesahau pia mechi ya Yanga na Jamus, ziliongezwa dk 9 wakati hakukuwa na upotezaji wa muda wa aina yoyote.
 
Siku Singida walipocheza dhidi ya Azam kwenye hatua ya robo fainali, mwamuzi alimaliza mpira baada ya dakika 8! Tofauti kabisa na zile 5 za nyongeza. Yaani alionesha wazi kabisa shauku yake ilikuwa ni kuiona Azam inapiti ili iktane na simba! badala ya SFG!

Nadhani hayo mashindano ni ya kijinga tu. Bila shaka hao waliosusa wako sahihi kabisa.
tulishaingiza SIASA ktk MPIRA ... Sasa Equation imeBalance, MPIRA nao umeingia ktk SIASA
 
(1) Mchezo wa Simba sc vs APR hapa Kuna tukio lilinishangaza Mchezaji Onana hakuwepo hata sub, na nilimuona Jukwaani lakini mchezo ulipochezwa dakika 45 za kwanza kumalizika kwa timu bila kufungana Cha kushangaza kipindi Cha pili Onana aliingia uwanjani na kulisakata kabumbu kwa kweli hili lilinishangaza sana na kunidharau hii michuano ya Mapinduzi cup.

(2)Mchezo wa Mlandege vs APR ya Rwanda, Kuna goli lilifungwa lilikua ni clear kabisa bila ya kupepesa macho Cha ajabu marefa wote walikaa kimya na kufuata maamuzi ya Refa wa Kati kuwa siyo goli, niliona APR wamehujumiwa waziwazi bila kificho.

Kocha wa APR alisemakuwa "hatutoshiriki Tena michuano ya Mapinduzi cup kutokana na uhuni wa marefa kuchezesha mpira kwa kupendelea"

NALIA NGWENA naungana na APR ya Rwanda na kusema kuwa sitopoteza muda wangu kuangalia michuano ya Mapinduzi cup kipindi kingine.

(3)Singida fountain gate vs Simba sc ile Kona waliyopewa Simba sc na kusawazisha kwa akili ya kawaida marefa walikuwepo walitaka Simba sc washinde na kweli walifanikiwa kwa asilimia mia moja kwa kuhakikisha Simba sc inashinda.

SINGIDA walihujumiwa kwa silimia mia wao walistahili kucheza fainali na si Simba sc.

Nawasilisha hoja.
Kwani marefa walipanga mpaka zile penati za Simba FC vs Fountain ama?
 
(1) Mchezo wa Simba sc vs APR hapa Kuna tukio lilinishangaza Mchezaji Onana hakuwepo hata sub, na nilimuona Jukwaani lakini mchezo ulipochezwa dakika 45 za kwanza kumalizika kwa timu bila kufungana Cha kushangaza kipindi Cha pili Onana aliingia uwanjani na kulisakata kabumbu kwa kweli hili lilinishangaza sana na kunidharau hii michuano ya Mapinduzi cup.

(2)Mchezo wa Mlandege vs APR ya Rwanda, Kuna goli lilifungwa lilikua ni clear kabisa bila ya kupepesa macho Cha ajabu marefa wote walikaa kimya na kufuata maamuzi ya Refa wa Kati kuwa siyo goli, niliona APR wamehujumiwa waziwazi bila kificho.

Kocha wa APR alisemakuwa "hatutoshiriki Tena michuano ya Mapinduzi cup kutokana na uhuni wa marefa kuchezesha mpira kwa kupendelea"

NALIA NGWENA naungana na APR ya Rwanda na kusema kuwa sitopoteza muda wangu kuangalia michuano ya Mapinduzi cup kipindi kingine.

(3)Singida fountain gate vs Simba sc ile Kona waliyopewa Simba sc na kusawazisha kwa akili ya kawaida marefa walikuwepo walitaka Simba sc washinde na kweli walifanikiwa kwa asilimia mia moja kwa kuhakikisha Simba sc inashinda.

SINGIDA walihujumiwa kwa silimia mia wao walistahili kucheza fainali na si Simba sc.

Nawasilisha hoja.
Cry more,
Shubamittkenge
 
Siku Singida walipocheza dhidi ya Azam kwenye hatua ya robo fainali, mwamuzi alimaliza mpira baada ya dakika 8! Tofauti kabisa na zile 5 za nyongeza. Yaani alionesha wazi kabisa shauku yake ilikuwa ni kuiona Azam inapiti ili iktane na simba! badala ya SFG!

Nadhani hayo mashindano ni ya kijinga tu. Bila shaka hao waliosusa wako sahihi kabisa.
Cry more....
 
Wenzio hua wanazuga wanaweka hata sentensi Moja ya yangu

Wewe umekuja fulu mkoko kuishambulia SSC,unaonesha uko biased wewe ni utopolo
 
Wenzio hua wanazuga wanaweka hata sentensi Moja ya yangu

Wewe umekuja fulu mkoko kuishambulia SSC,unaonesha uko biased wewe ni utopolo
Kwani hayo matukio ni ya uongo??

Mbona Mlandege vs APR nimezungumzia hujaongelea??

Kweli ALIVYOSEMA Rage hajakosea.
 
Kwani hayo matukio ni ya uongo??

Mbona Mlandege vs APR nimezungumzia hujaongelea??

Kweli ALIVYOSEMA Rage hajakosea.
Hio gemu kuna shabiki wa Simba aliilalamikia sana kwamba APR hawajatendewa haki Ila sasa ilipokuja suala la Simba na Singida, kabadirika
 
Back
Top Bottom