NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
- Thread starter
- #21
KUNA MUDA ANAJICHANGANYA SANAIla mwanyeto aache kupiga nyeto anatugharimu sn.
Magoli yote yy ndiye kachomesha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KUNA MUDA ANAJICHANGANYA SANAIla mwanyeto aache kupiga nyeto anatugharimu sn.
Magoli yote yy ndiye kachomesha.
Vitasa kweli kweli Hawa jamaaIlikuwa mechi ya msimu
Nzengeli na Pacome hawa jamaa wana mapafu yenye uwezo wa ziada , na mwenzao Yao hakuwepo
Leo kuna pira makande huko kairo(1) Mudathri na Feisal salum walitegeana kuingia uwanjani hii ilishatokea kwa Aziz k na Chama kutopeana mikono.
(2) Vita Kali katikati ya uwanja baina ya viungo wakabaji Aucho, Mudathri na Akaminko, Bajana hakika Moto uliwaka kweli kweli kijana toka Zanzibar Mudathiri alitepeta na kufichwa na kocha aliona Bora amnusuru baada ya kuona kijana kapata kadi ya njano.
Bajana ni Moto hakika ni mwamba kweli kweli Akaminko akiicha lafu zake na kukamia namuona ni moja Kati ya kiungo Bora.
(3) Max Nzengeli, Pakome what a Performance hakika Hawa ni miamba kabisa, wametumwa kazi na kweli wanaifanya kazi.
(4) Gibril sillah huyu ni Moto na Nina mpa man of the match katika upande wa Azam Fc, maana magoli yote yametokea kwake goli la kwanza kafunga yeye pia kaja kusababisha penati likapatikana goli la pili kupitia Prince Dube.
Bacca na Mamunyeto walikua na kazi ya kufanya kupambana na huyu the magician left footer.
(5) Magoli kipa wa pande zote wameonesha uwezo wa Hali ya juu sema bahati haikua kwake kwa Idrisu lakini kafanya saves Kali sana haswa mashine iliyopigwa na Azizi ki.
Ukija kwa Diara mdaka mishale Kuna moja kutoka kwa Silla wameonesha uwezo wa Hali ya juu.
(6) Azizi ki ni motooo hat trick kaondoka na mpira na point tatu muhimu baada ya kufanya come back ya Nguvu.
HAKIKA TUMEONA MPIRA BURUDANI NA SIYO ILI MRADI MPIRA.
japo simba tumeumia kama tumefungwa sisi. aziz key kiboko tunamuomba kesho walau kwa muarabu tupate ahueni.
tutawapa bocco+mzamiru+na huyu kipa wetu muarabu koko. KAMA AHSANTEE