Haya ndiyo yatakuwa maneno ya watu wale baada ya matokeo ya kesho

Haya ndiyo yatakuwa maneno ya watu wale baada ya matokeo ya kesho

kwisha

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2021
Posts
1,779
Reaction score
4,982
Wanachojua tu ni kukamia Mbasi, sisi level zetu siyo wao. Sisi tunapambana na wenzetu wa kimataifa. Mbasi ni timu kubwa Afrika, sijui maneno yatakuwa mengi.

Kumfunga de () st) - go) siyo kwamba wewe ni bora wale ni wachovu zaidi yenu.
 
Tulia wewe Daby ishachezwa nje ya uwanja kama hauamini ntakutag kesho uamini ninachosema Uto 0-3 Simba.
 
Hii mechi simba hawezi kumfunga Yanga nimekaa pale niiteni Haji manara.
 
Yanga hawajawahi kupita Mlango Rasmi wa kuingilia uwanjani.
Huwa Wana fujo sana.

Dahhh nakumbuka 2017 waliambiwa Gali la yanga la wachezaji liingie mapema Uwanjani, lilipofika geti La kuingilia ghafla lilizima. Wachezaji wakaanza mbio kukimbia kwenda Uwanjani kwa miguu.mala ghafla Gali likawaka.

Yanga wanavituko sana kwakweli.
Utopolo bwana!!!!!!
 
Yanga hawajawahi kupita Mlango Rasmi wa kuingilia uwanjani.
Huwa Wana fujo sana.

Dahhh nakumbuka 2017 waliambiwa Gali la yanga la wachezaji liingie mapema Uwanjani, lilipofika geti La kuingilia ghafla lilizima. Wachezaji wakaanza mbio kukimbia kwenda Uwanjani kwa miguu.mala ghafla Gali likawaka.

Yanga wanavituko sana kwakweli.
Utopolo bwana!!!!!!
Mlango unacheza number ngapi?
 
Mvua imesha nyesha mkuu Simba atashinda.

Simba ni mzuri sana jumapili.

Mvua ikinyesha ndio Dalili ya Simba KUSHINDA.

Ila idadi ya Magoli sijui.
 
Wanachojua tu ni kukamia Mbasi sisi
Level zetu sio wao. sisi tuna pambana na wenzetu wakimataifa
Mbasi ni timu kubwa africa sijui maneno yatakuwa mengi

Kumfunga de () st) - go) sio kwamba wewe ni bora wale ni wachovu zaidi yenu
Na mvua hii yanga hatoki
 
Yanga hawajawahi kupita Mlango Rasmi wa kuingilia uwanjani.
Huwa Wana fujo sana.

Dahhh nakumbuka 2017 waliambiwa Gali la yanga la wachezaji liingie mapema Uwanjani, lilipofika geti La kuingilia ghafla lilizima. Wachezaji wakaanza mbio kukimbia kwenda Uwanjani kwa miguu.mala ghafla Gali likawaka.

Yanga wanavituko sana kwakweli.
Utopolo bwana!!!!!!
Na hyo mechi kocha uchebe simba walikosa goli 27 clear chances ndo nikaamini yanga wameshindikana kwenye uchawi ndemla anakosa goli la wazi golini hakuna mtu
 
Back
Top Bottom