Moja kati ya game inayosubiriwa sana nchini, ni kama enzi zile Simba Sc ndo ameanza kuyatafuta makundi.
Mzee wa utabiri! Tupe na matokeo ya kule Sudan.Yanga na Al Hilal matokeo yatakuwa hivi;
Yanga vs al-hilal
3-1
Wafungaji
Mayele goli 2
Djuma Shaban
1 penalti
Al Hilal
Mfungaji Lilopo, 1 penalti
Kumbukeni goli la kwanza la Yanga litakuwa la penati na magoli mawili ya Mayele yatakuwa ya kufunga kwa kichwa.
Goli la kwanza litakuwa kwenye dakika ya 20+, la pili 40+ na la tatu 60+.
Na la Lilopo litakuwa la dakika 30+.
Atakayebisha abishe lakini matokeo ni hayo hayo tu. Namaliza, tukutane Jumamosi, wengi watajaa kwenye uzi huu kuthibitisha.
Tuwe 500k YANGA ATASHINDA HIYO GAMETuweka dau la laki 3 twende sawa
Yanga badoo kwa mpira ule wanaocheza kufunga hadi wakose mara 10 then mara ya 11 ndo ndio goli bado sana..Mzee wa utabiri! Tupe na matokeo ya kule Sudan.
Yanga msimu huu tunafika mbali sana!..
Mtamanuliwa tu hakuna jinsi nyingineYanga na Al Hilal matokeo yatakuwa hivi;
Yanga vs al-hilal
3-1
Wafungaji
Mayele goli 2
Djuma Shaban
1 penalti
Al Hilal
Mfungaji Lilopo, 1 penalti
Kumbukeni goli la kwanza la Yanga litakuwa la penati na magoli mawili ya Mayele yatakuwa ya kufunga kwa kichwa.
Goli la kwanza litakuwa kwenye dakika ya 20+, la pili 40+ na la tatu 60+.
Na la Lilopo litakuwa la dakika 30+.
Atakayebisha abishe lakini matokeo ni hayo hayo tu. Namaliza, tukutane Jumamosi, wengi watajaa kwenye uzi huu kuthibitisha.
Na ndiyo itakavyokuwaMi nabashiri Al Hilal anashinda goli 1
Yanga na Al Hilal matokeo yatakuwa hivi;
Yanga vs al-hilal
3-1
Wafungaji
Mayele goli 2
Djuma Shaban
1 penalti
Al Hilal
Mfungaji Lilopo, 1 penalti
Kumbukeni goli la kwanza la Yanga litakuwa la penati na magoli mawili ya Mayele yatakuwa ya kufunga kwa kichwa.
Goli la kwanza litakuwa kwenye dakika ya 20+, la pili 40+ na la tatu 60+.
Na la Lilopo litakuwa la dakika 30+.
Atakayebisha abishe lakini matokeo ni hayo hayo tu. Namaliza, tukutane Jumamosi, wengi watajaa kwenye uzi huu kuthibitisha.