kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,779
- 4,982
Yanga na Al Hilal matokeo yatakuwa hivi;
Yanga vs al-hilal
3-1
Wafungaji
Mayele goli 2
Djuma Shaban
1 penalti
Al Hilal
Mfungaji Lilopo, 1 penalti
Kumbukeni goli la kwanza la Yanga litakuwa la penati na magoli mawili ya Mayele yatakuwa ya kufunga kwa kichwa.
Goli la kwanza litakuwa kwenye dakika ya 20+, la pili 40+ na la tatu 60+.
Na la Lilopo litakuwa la dakika 30+.
Atakayebisha abishe lakini matokeo ni hayo hayo tu. Namaliza, tukutane Jumamosi, wengi watajaa kwenye uzi huu kuthibitisha.
Yanga vs al-hilal
3-1
Wafungaji
Mayele goli 2
Djuma Shaban
1 penalti
Al Hilal
Mfungaji Lilopo, 1 penalti
Kumbukeni goli la kwanza la Yanga litakuwa la penati na magoli mawili ya Mayele yatakuwa ya kufunga kwa kichwa.
Goli la kwanza litakuwa kwenye dakika ya 20+, la pili 40+ na la tatu 60+.
Na la Lilopo litakuwa la dakika 30+.
Atakayebisha abishe lakini matokeo ni hayo hayo tu. Namaliza, tukutane Jumamosi, wengi watajaa kwenye uzi huu kuthibitisha.