DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,382
- 29,639
Unabishana na Tanasha ?Unauthibitisho wowote juu ya hilo unaloongea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unabishana na Tanasha ?Unauthibitisho wowote juu ya hilo unaloongea
Unabishana na Tanasha ?
Kuna kitu kibaya Diamond "anaweza takuwa" amemfanyia Kiba ndio maana kila wakati anataka wayamalize, kama ni hivyo bora aombe msamaha yaishe maana kosa halina muda wa kuisha bila kuondoa tofauti, kama anaona muda umepita kosa limepita atakuwa anajidanganya.
Mimi msikilizaji wa muziki tu, Mondi labda boss wako wewe. Kiba anawasaidia nini Clouds?Anawasaidia kitu ambacho wewe haukijui ila bosi wako mondi anakijua na anataka media yake ikipate kutoka kwa ali na clouds wakikose
mkuu sasa kama huyo johho anawaneemesha watu kwanini nawewe usiende ukapewe neema?Jamani tusidanganyane. Kiba ana Nini? Zaidi mziki. Kinywaji chake kimekataliwa (fire). Kipi kisichoweza kujificha bongo? Mwenzake huyoo na Radio. TV.. Karanga. Ubalozi kibao. Ali Kiba zaidi kumtegemea mhuza unga wa mombasa (JOHO) BASHA LA MOMBASA. zaidi ya hapo NI Nini....
Asante!Takataka, hujui chochote