Lakini mond nae mnafiki tu meneja wake babu tale alishasema haoni umuhimu wa kiba kwenye show wasafiKuna kitu kibaya Diamond "anaweza takuwa" amemfanyia Kiba ndio maana kila wakati anataka wayamalize, kama ni hivyo bora aombe msamaha yaishe maana kosa halina muda wa kuisha bila kuondoa tofauti, kama anaona muda umepita kosa limepita atakuwa anajidanganya.
Ni kweli anapesa na anaweza kuingiza nyingi sana bila wao, lakini kwa nini amekuwa akitaka sana awe nae karibu? Unaweza kuwa na pesa lakini huna amani moyoni, na kama unaweza ukaipata ni vyema kuifuata.Diamond Ni boss mzuri Sana, unajua unapotafuta pesa personal issue unaweka pembeni una focus kwenye core subject. Diamond anaweza piga show bila wao na akafanikiwa lakini ameona Ni vyema akawashirikisha jamaa zake, lakini Kama hawataki sio lazima.
marafiki wa darasa la pili ukifika form two huwa tunawadrop, awachane nao hao amwalike pappy fulla au awilo longomba au some show itakavyonona. Akikosa amwalike shilole anatosha kabisa.Kiba kajibu kama demu anii [emoji23][emoji28][emoji28]
Very sluggish [emoji51][emoji51]
Kma a, kama kuna kitu kibaya mondi alimfanyia Kiba lazima kitakuwa kina muumiza, hao kina Tale ni wapiga zumari tu bila mondi hakuna wao, wamuache atafute kile anacho hitaji wasimpangie uadui au urafiki, mondi ni mtu mzima hao mameneja washukuru kuajiriwa nae waache kimbelembele.Lakini mond nae mnafiki tu meneja wake babu tale alishasema haoni umuhimu wa kiba kwenye show wasafi
Mpaka Kiba amesimama tena kwenye muziki alihangaika sana nisikiavyo hasa visomo vya Mombasa kwa Joho vimemsaidia sana. Diamond na mama yake walishaizika nyota yake. Kiba hana hamu kabisa.Kuna mda inabidi mtu aaache unafiki tu.Mondi huwa akiwa kwenye press huwa anajuwa kucheza na akili za watu kwa kujifanya innocent na asiyekuwa na tatizo na wenziwe.Ila yaliyoko moyoni kwake na kamati yake ya ufundi wanayoyafanya ni Ushetani tu.Ila wote ni wasanii wetu tuwasapoti tu.
Alikiba hana jipya na ameishiwa...bila bifu ilo la kutengeneza kiba solo lake ni kama LA mb doggy. Ukiona mwanaume anayependa kuonewa huruma kila siku na kujiweka anaonewa ni mjingaSaa chache baada ya msanii, Naseeb Abdul maarufu Diamond Platnumz kuwaalika Harmonize na Ali Kiba katika tamasha la Wasafi, wawili hao wameibuka na kumjibu.
Wakati Ali Kiba akimtaka Diamond kutomfuatilia akitumia neno “unikome”, Harmonize amesema hataki kuongea kuhusu jambo hilo.
Leo mchana Jumatano Oktoba 30, 2019 Diamond wakati akizungumzia tamasha hilo litakalofanyika Novemba 9, 2019 jijini Dar es Salaam alisema ana imani Harmonize atashiriki na kwamba amepeleka mwaliko kwa uongozi wa Ali Kiba, ili msanii huyo naye ashiriki tamasha hilo.
"Wenzetu (wasanii) Nigeria ndio maana wanaendelea kwenye muziki kwani kunapokuwa na matamasha kama haya wanaweka tofauti zao pembeni, kumkuta jukwaa moja Wizkid na Davido ambao walikuwa na bifu kwao ni jambo la kawaida.”
“Kwa nini tung’ang’anie bifu hata sehemu ambayo ni ya kutengeneza pesa na kutuleta Watanzania pamoja,” amesema Diamond katika mkutano wake huo na waandishi wa habari.
Baada ya Diamond kueleza hayo, Mwananchi lilimtafuta Ali Kiba kujua kama ataweza kushiriki katika tamasha hilo na msanii huyo alisema hawezi kulizungumzia hili.
Baada ya muda Ali Kiba alimjibu Diamond kupitia ukurasa wa mtandao wake wa kijamii wa Instagram, “usiniletee mambo ya darasa la pili unaniibia penseli halafu unanisaidia kutafuta unikome.”
“Mwanaume huwa anaongea mara moja tu sasa ukitaka nikuweke uchi watu wajue unayonifanyia hata kwenye hilo tamasha hatokuja mtu sasa tuishie hapo nakutakia tamasha njema.”
Wakati Ali Kiba akieleza hayo, Harmonize alipoulizwa na Mwananchi amesema, “achana na hayo mambo ya Diamond, tuongee mambo mengine.”
View attachment 1249233
Exactly.Ndio la maana, mengine Ni ujinga
Kwa hivyo ni ushirikina au?Ukiielewa hii sentensi " unaniibia pencil harafu unanisaidia kuitafuta" na
" ukitaka nikuweke uchi watu watu wajue unachonifanyia, basi hilo tamasha hatokuja hata mtu mmoja"
Ukizielewa hizi sentesi utagundua ali anakitu kikubwa alichofanyiwa na mondi( mawazo yangu ni views za you tube n.k), na ali hataki kusamehe.
Pia nia ya mond ni kuiangusha clouds, hivyo anajifanya kumaliza bifu na kiba ili awashinde clouds. Pia mondi anajifanya hataki bifu mbele ya watu huku akifanya mambo ya ajabu nyuma ya pazia.
Leo hii anamtaka harmonize, wakati mwenye show ya iringa alimtukana mbele ya watu na hata kwenye sherehe ya juzi kati hapo kam diss sana harmo.
MNAFIKI AWAKOME HARMO NA KIBA. AFANYE MWENYEWE KWANI KUNA KITU KIMEWAHI KUHARIBIKA KWENYE HIZI FESTIVAL AMBAZO KIBA NA HARMO HAWAJA PERFOM.
You know nothing bro hujui kinachoendelea kati ya hao wawili so bro kwa kimya tu na ukiwa msanii usijenge urafiki na mond don't try that it'll cost you big time.Diamond Ni boss mzuri Sana, unajua unapotafuta pesa personal issue unaweka pembeni una focus kwenye core subject. Diamond anaweza piga show bila wao na akafanikiwa lakini ameona Ni vyema akawashirikisha jamaa zake, lakini Kama hawataki sio lazima.
Ukiwa pia msanii usijenge urafiki na alikibaYou know nothing bro hujui kinachoendelea kati ya hao wawili so bro kwa kimya tu na ukiwa msanii usijenge urafiki na mond don't try that it'll cost you big time.
NikweliNi kweli anapesa na anaweza kuingiza nyingi sana bila wao, lakini kwa nini amekuwa akitaka sana awe nae karibu? Unaweza kuwa na pesa lakini huna amani moyoni, na kama unaweza ukaipata ni vyema kuifuata.
Mi nakuambia hakuna chochote kibaya ila unganisha dot tokea apewe mkono na Chibu akageuza kuona anaibiwa nyota, Huyu Kiba hana tofauti na Q-Chila, kipindi fulani Chila aliliaga kuwa Mondi kamuibia nyota yake, hayo ndo wanadanganywa na waganga wao....Kma a, kama kuna kitu kibaya mondi alimfanyia Kiba lazima kitakuwa kina muumiza, hao kina Tale ni wapiga zumari tu bila mondi hakuna wao, wamuache atafute kile anacho hitaji wasimpangie uadui au urafiki, mondi ni mtu mzima hao mameneja washukuru kuajira nae waache kimbelembele.
Mpaka Kiba amesimama tena kwenye muziki alihangaika sana nisikiavyo hasa visomo vya Mombasa kwa Joho vimemsaidia sana. Diamond na mama yake walishaizika nyota yake. Kiba hana hamu kabisa.
Diamond hawezi kumchezea Hamo, Chitoholi si mchezo. Aliweza kuwazima walee wa mwanzo sasa atulie.
Mond hajaanza leo kumuomba All ashiriki tamasha la WasafiNikweli
Unachotakiwa kujua ni kwamba Mondi ameanza kujifanya anataka kumaloza bifu na kiba, mara baada ya kuvurugana na clouds ambako saiv ali ndiye msanii wao. So mond anamtaka kiba kwa ajili ya kuishusha clouds na amegundua harmo pia anaweza chukuliwa na hao clouds ndio maana anajifanya kuwasogeza karibu harmo na kiba.
Ila anachosahau ni kwamba anawafanyia au amewahi kuwafanyia vitu vibaya kiba na harmo directly. So ni mnafiki tu, hakuna cha kumaliza bifu wala nini.