third eye chakra
JF-Expert Member
- Dec 27, 2023
- 713
- 1,745
Mambo au Tabia Zinazofanya Kufifisha au Kudhoofisha Malango Yako/Nishati ya Ndani
1. 😞😞 Uzinzi au Ngono Hulela
Ni vyema kuwa na mke/mume au mtu mmoja kwa nia ya mahusiano na sio kutangatanga. Mara leo uko huku, kesho kule, hapo utavaa karma nyingi ambazo hazikuhusu. Sio kila umuonae anakufaa au ni binadamu; wengine ni majini yamevaa miili ya watu.
2. 🤔 Ulaji wa Nyama Kupita Kiasi
Kwa mtafutaji wa nuru ya kweli, ni vyema kupendelea kula vitu vyepesi kama mboga mboga.
3. 😎 Matumizi ya Vilevi Vikali
Matumizi ya pombe kupita kiasi, sigara, na vilevi vingine vikali vinaweza kudhoofisha nishati yako.
4. 😞😞 Kutamka Maneno Hasi kwa Watu, Kuwa na Mawazo Hasi
Unapowaza au kusema jambo hasi, ulimwengu nao huwa unakuletea hayo unayowaza au kutamka. Ukiwaza kuloga, utalogwa kweli; ukisengenya, nawe utafanyiwa hivyo.
5. 👉 Matumizi ya Bidhaa za Viwandani
Bidhaa za viwandani nazo hufunga malango kwa wepesi.
6. 👉👉 Maagano ya Ukoo, Mizimu nk.
Kutokana na karma ya vizazi ndani ya ukoo, matamko ndani ya vizazi hivyo yanaweza kukufunga usipige hatua yoyote. Hii inamaanisha unapaswa kuabudu mizimu na kuifanyia inavyotaka ili usiendelee kufungwa.
1. 😞😞 Uzinzi au Ngono Hulela
Ni vyema kuwa na mke/mume au mtu mmoja kwa nia ya mahusiano na sio kutangatanga. Mara leo uko huku, kesho kule, hapo utavaa karma nyingi ambazo hazikuhusu. Sio kila umuonae anakufaa au ni binadamu; wengine ni majini yamevaa miili ya watu.
2. 🤔 Ulaji wa Nyama Kupita Kiasi
Kwa mtafutaji wa nuru ya kweli, ni vyema kupendelea kula vitu vyepesi kama mboga mboga.
3. 😎 Matumizi ya Vilevi Vikali
Matumizi ya pombe kupita kiasi, sigara, na vilevi vingine vikali vinaweza kudhoofisha nishati yako.
4. 😞😞 Kutamka Maneno Hasi kwa Watu, Kuwa na Mawazo Hasi
Unapowaza au kusema jambo hasi, ulimwengu nao huwa unakuletea hayo unayowaza au kutamka. Ukiwaza kuloga, utalogwa kweli; ukisengenya, nawe utafanyiwa hivyo.
5. 👉 Matumizi ya Bidhaa za Viwandani
Bidhaa za viwandani nazo hufunga malango kwa wepesi.
6. 👉👉 Maagano ya Ukoo, Mizimu nk.
Kutokana na karma ya vizazi ndani ya ukoo, matamko ndani ya vizazi hivyo yanaweza kukufunga usipige hatua yoyote. Hii inamaanisha unapaswa kuabudu mizimu na kuifanyia inavyotaka ili usiendelee kufungwa.