Haya ni baadhi ya mashirika ya kikristo yanayotoa huduma mbali mbali kwa jamii zote duniani

Hivi haya Mashirika yakisema yasaidie sehemu kama gaza watapokea misaada yao kweli au Misaada ya Makafiri?πŸ˜‚πŸ˜‚
 
lakini umaskini ndio umezidi kuwa mkubwa!
niliwahi kufanya kazi kwenye shirika fulani la namna hizo kwa kiasi kikubwa kile kinachoitwa kusaidia ni lengo lao la mwisho katika ya malengo walio nayo.
Wana malengo gani ya ziada ukiacha misaada ya kijamii?
Funguka tujifunze
 
TCRS: Tanzania Christian Refuges Service
 
bakatwa pale kariakoo ukiwa muislamu wanajifanya kuwa karibu na wewe ukifa tu wanageuza mali za wafu.ili wajimilikishe.
wazir jerry umewapiga za uso sana pale
 
Hivi haya Mashirika yakisema yasaidie sehemu kama gaza watapokea misaada yao kweli au Misaada ya Makafiri?πŸ˜‚πŸ˜‚
Mbona Samaritan Purse ambao ni Wakristo kabisa tena Walokole wa Marekani wanapeleka sana misaada ya chakula Gaza?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…