Haya ni maajabu ya tume ya ajira!!!!tutafika????????????? ???

Haya ni maajabu ya tume ya ajira!!!!tutafika????????????? ???

Shukuru umeitwa, kuna wenzio tumeandika barua hadi pen inaisha na unaiona kabisa haiandiki lakini no kuitwa sasa sijui hivo vivuli vyetu wanapeleka wapi ndugu zanguni, au ndo ule mtindo wa kuchukua vyeti vya watu na kumpa ndugu wa mtu aombee kazi!! Unaweza kukuta jina lako kuna mtu anakula bingo mahali we unahangaika mtaani. Ni Hatari maana sioni kazi wanayofanya kwa kweli.
 
Shukuru umeitwa, kuna wenzio tumeandika barua hadi pen inaisha na unaiona kabisa haiandiki lakini no kuitwa sasa sijui hivo vivuli vyetu wanapeleka wapi ndugu zanguni, au ndo ule mtindo wa kuchukua vyeti vya watu na kumpa ndugu wa mtu aombee kazi!! Unaweza kukuta jina lako kuna mtu anakula bingo mahali we unahangaika mtaani. Ni Hatari maana sioni kazi wanayofanya kwa kweli.

Ajabu ni ipi sasa?
 
Back
Top Bottom