Haya ni Machotara ya Kipemba wanaocheza Ulaya

Indian

JF-Expert Member
Joined
Oct 27, 2012
Posts
821
Reaction score
710
Huyu mmoja Anaitwa Mohammed Bebeto kwao ni Wete PEMBA na sasa hivi ni mchezaji na mfungaji kwenye hii time yake huko ulaya.

Na mwengine huyu wa Manchester United Anaitwa Rashid Mohammed ni Mtoto wa Gombani PEMBA.

Hivi ni vipaji vinavoinekana zaidi kwenye media za kimataifa.
 

Attachments

  • image.jpeg
    97.8 KB · Views: 322
  • image.jpeg
    63 KB · Views: 317
  • image.jpeg
    72.5 KB · Views: 306
Acha ubaguzi wee maana hauta kuwa na tofauti na kaburu!
Na wale machotara wa kigiriki na kijerumani tutawaitaje au kuwa judge VP???
wangekulia zanzibar saizi wangekuwa vilaza wakutupwa.
 
Muangalie RashFord jina wanalomuita Waingereza pamoja na picha zake za utoto huko Pemba
 

Attachments

  • image.jpeg
    13.2 KB · Views: 247
  • image.jpeg
    36.7 KB · Views: 280
  • image.jpeg
    30.3 KB · Views: 202
  • image.jpeg
    45.9 KB · Views: 188
Enzi hizi za internet uongo haufaii


Marcus Rashford..born and raised in Manchester
 
Ndiyo mwanzo mzuri, Vijana wengi watafuata nyayo ihizo.....!!
Mkuu labla kije kizazi kingine tofauti na chetu hapo bongo bhana hata kama una kipaji kitauliwa tu kwa fitna Hasheem Thabit yupo wapi? Samatta tu tumebaki nae
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…