Haya ni madini gani?

Haya ni madini gani?

nguzo1

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2015
Posts
352
Reaction score
582
Wakuu,
Niko site huku upareni nimekutana na haya madini baada ya utafiti wa juu juu nimegundua ni either Red garnet au Rubby. Kwa wale wataalam wa madini hebu nipeni uhakika ni madini ya aina gani? Quality yake ni kiwango gani? Soko lake likoje? Naambatanisha na picha
IMG_20190317_152105.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Attachments

  • 20191127_172721.jpg
    20191127_172721.jpg
    80.6 KB · Views: 3
  • 20191127_172612.jpg
    20191127_172612.jpg
    57.7 KB · Views: 3
  • 20191127_172601.jpg
    20191127_172601.jpg
    63 KB · Views: 3
  • 20191127_172641.jpg
    20191127_172641.jpg
    98.2 KB · Views: 4
Back
Top Bottom