Haya ni madini ya aina gani?

Hiyo wametoa KWa kuku.... Haina kitu hiyo...
 
Ni hata sijui ila ukitaka namba ya RMO Mbeya nakupa
Usijari mkuu, pale ofisi za madini mkoa Uhindini nina washkaji. Ngoja nikawaoneshe Kwanza nione watakavyotoa macho. Dogo anasema yapo mengi huko alipoyachukua hivi vipande. Nimejaribu kuangalia soko la Amber stone la Dubai naona wanauza kwa kg's duh🙄
 
Utamu wa JF kila mtu anasema lake, madini OG ya hiyo picha ninayo mimi
 
NIMEPITIA KWENYE COMMENTS NA KATIKA 90% YA WALIOKUJIBU HAWAJUI CHOCHOTE NA NI WACHACHE WANAOJUA.


KATIKA UTAMBUZI WA MADINI HUWA HAUSHAURIWI KUTAMBUA AINA YA MADINI KWA PICHA TU KWASABABU SWALA LA KUTAMBUA MADINI LINA HATUA KADHAA KAMA KUTAMBUA TEXTURE,TRACE ELEMENTS, STRIATIONS,STREAK,MOHS SCALE OF HARDNESS NA KADHALIKA.


ILA KWA KUTUMIA JICHO LA UZOEFU NATAKA NIKUAMBIE KUWA HILO JIWE ULILOSHIKA NI ;

QUARTZ ILIYO KUWA BLENDED NA SUNSHINE COLOR AMBAYO KITAALUM NI CITRINE.

NA MAIN COMPOSITION NI Silicon dioxide TRACE ELEMENTS ZAKE ZILIZOIFANYA IBADILIKE RANGI ZIMENITOKA KIDOGO

QUARTZ HUWA ZINA COMPOSE RANGI NYINGI NA HUBADILIKA MAJINA KUTOKANA NA TRACE ELEMENTS ZILIZOMO

MFANO YA AINA YA MAKUNDI YA QUARTZ
1.Jasper
2.Citrine
3.Amethyst(hii ukitaka ufafanuzi ntakupa)
4.n.k

Kuna mdau/wadau wawili watatu ndo wamepatia.


KARIBU KWENYE ULIMWENGU WA GEOLOGY NA GEMOLOGY




Nshomile
kwasasa,Kahama Tanzania
 
Ila umenichekesha eti umeleta uzi halafu ukamtagg ticha mpwayungu[emoji23][emoji23]

atambue madini hayo na kwa mujibu wa comment yake ni kuwa hajui kitu kabsaaaa[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ndio madini gani hayo mkuu? Yana jina jengine?
magauda mengine ni white light kama changarawe tu lakini yanavutia flani hivi. Mm niliokota haya miaka kama name nyuma bush. Hayakuwa Dili hayo. Kama unataka pruv nenda MKURANGA-kijiji kimoja kinaitwa mkamba Kuna mlima inaitwa Zogoali. Yapo mengi sana haya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…