Sasa kama wazazi wako walikudanganya hivyo unadhani na wazazi wa wenzio nao ni waongowaongo kama wazazi wako?Ipi ni sababu ya msingi iliyofanya wazazi wetu watudanganye kua eti uume unaitwa DUDU na uke unaitwa KIDONDA? kwanini wasingetuambia tu majina yake halisi, nakumbuka wakati nipo darasa la pili nilikaambia kadem flani..Aminaa naomba KIDONDA chako..
Mi kwetu nilikuwa najua kabisa kwamba ile ni Mbunye na wangu ni mkuyenge .Ipi ni sababu ya msingi iliyofanya wazazi wetu watudanganye kua eti uume unaitwa DUDU na uke unaitwa KIDONDA? kwanini wasingetuambia tu majina yake halisi, nakumbuka wakati nipo darasa la pili nilikaambia kadem flani..Aminaa naomba KIDONDA chako..
hahaaaSasa kama wazazi wako walikudanganya hivyo unadhani na wazazi wa wenzio nao ni waongowaongo kama wazazi wako?
hahaaaKama hawakua wajinga basi walikua WAPUUZI sanaaaa
Kama ambavyo wewe ni mpuuzi? Maana najua hutawaambia wanao huo ujinga wa wazazi wako.Kama hawakua wajinga basi walikua WAPUUZI sanaaaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] duh jino kwa jinoDa'Vinci alikufunza kupika vitumbua au?
Nashangaa kwanini wewe hujakubali wazazi wako walikuwa wajinga...ni
afadhali sana kama umekubali kua wazazi wako walikua WAPUUZI
Mkundu tena!!!Hongera sana kama wazazi wako walikuchana kua hii ni Mboo, hii ni **** na huu ni Mkundu..