Miwatamu
JF-Expert Member
- Oct 2, 2012
- 1,450
- 489
Mgiriki = Serikali ya Tanzania na viongozi wake nimewatia mfukoni!===== Nyerere hakuwa na mjadala juu ya hilo kwani alimtia ndani mtu huyo bila kujali yeye ni nani na hatimaye kumfukuza nchini.
IDD AMINI= Nyerere ni mtu mdogo sana ambaye hawezi kunifanya nikose usingizi!! Sana sana nitamsikiliza kwa sauti yake ambayo haina tofauti na sauti ya mke wangu. ===== Nyerere alichomfanyia hadi leo imebaki simulizi kwa dunia nzima.
LEO HII KAGAME ANASEMA:
Namsubiri aiingie kwenye anga zangu nimshikishe adabu huyu anayeongea ujinga! yaani Rais wetu KIKWETE!!!!
According to our history. This was the right time to show Mr. Kagame that our president he is not a foolish, but is a giant. It was the right time to destroy him.
Huu ndio msimamo wangu kwa hili.
IDD AMINI= Nyerere ni mtu mdogo sana ambaye hawezi kunifanya nikose usingizi!! Sana sana nitamsikiliza kwa sauti yake ambayo haina tofauti na sauti ya mke wangu. ===== Nyerere alichomfanyia hadi leo imebaki simulizi kwa dunia nzima.
LEO HII KAGAME ANASEMA:
Namsubiri aiingie kwenye anga zangu nimshikishe adabu huyu anayeongea ujinga! yaani Rais wetu KIKWETE!!!!
According to our history. This was the right time to show Mr. Kagame that our president he is not a foolish, but is a giant. It was the right time to destroy him.
Huu ndio msimamo wangu kwa hili.