Haya ni maneno yaliyomfanya Mwl. Nyerere kuchukua hatua bila kusita

Haya ni maneno yaliyomfanya Mwl. Nyerere kuchukua hatua bila kusita

Yericko nakuhakikishia Syria atapigwa tu,U.S alichokifanya ni kumpa opportunity Assadi kama ana akili aachie uongozi aende Russia lakini akiendelea kuwepo lazima atapigwa hata akisalimisha silaha!!!!

nakubaliana na ww mkuu.hata iraq waliruhusu wakaguzi wa silaha za maangamizi toka UN waikague na hawakukuta silaha yoyote!lakini pamoja uthibitisho ule bado iraq ilichezea kichapo.nakumbuka pres. bush jr alikiri waziwazi kuwa uvamizi ule ulilenga pia kumuondoa kabisa duniani saddam kwa sababu alikuwa ni tishio kwa sera na maslahi ya US.so kwa syria sitashangaa ikitokea but lets wait and see.
 
Hata kama utadai kuna ajenda za siri, jaribu kuepuka kuingiza udini usio na sababu wakati hujui mambo sawasawa. Obote alikuwa Mwanglikan. Anglican Church ilianza hasa kwa kuwa hawataki kufuata amri za Vatican (Wakatoliki wa Roma). Askofu Makarios alikuwa wa kanisa la Kigiriki la Orthodox, si chini ya Vatican.
Sijui kama utaanza kutaja kila suala la kimataifa kwamba Nyerere aliungana na Wakristu tu?

VITA ya uganda ilikuwa ni kumtetea kibaraka wake obote kwa kuwa walikuwa na ajenda yao ya siri ilitoka vatcan ndio maana swala la yule mgiriki hakumsikiliza yoyote isipokuwa baba askofu chezea mfumo.
 
Sasa mkuu ww unataka rais wetu afanyeje...toa hata mawazo yako kama ww ndo ungekuwa rais currently.....
 
neno 'mfumo' wamepandikizwa walala hoi wasio na mbele wala nyuma, wasio na elimu ya kupambanua vitu ila wamekuwa bendera fuata upepo kwa maslahi ya wachache. unapoambiwa jambo fikiri nani anakwambia, kwa sababu zipi halafu wewe ndio uchambue nini cha kufanya. mtadanganywa sana na hao wanaojiita wafia dini. lunatics!
 
Kikwete ni dhaifu fulstop. hawezi kuwa na maamuzh mazito zaidi ya kujichekesha kama anakunwa.
 
Pamoja na kwamba mimi simuungi mkono j.k na serikali yake mimi naona kimya chake kinasaidia, mleta mada ulikuwa unataka jk afanye nini?kama kupigana vita kuna taratibu za kimataifa za kudeclare vita mkuu otherwise unaweza kuiingiza nchi kwenye matatizo makubwa. Kinachoendelea ni vita baridi kati ya tz na Rwanda tunachotakiwa kufanya kwa sasa nikuyaweka majeshi yetu tayari kwa lolote wakati wowote ikitokea amevamia basi hapo tutakuwa na sababu ya kumpa kichapo kikali ambacho naamini hakitakuckua zaidi ya wiki moja.
 
Back
Top Bottom