Asante mkuu. Inapatikana madukani mikoani?Ikeda. Hutojuta.
Ulikuwa ni ugeni wa kikazi tu na mmojawapo ndiyo huyo na sina mawasiliano naeMuulize tu mgeni atakusaidia jina la perfume na inakopatikana pamoja na bei yake
Hizo huuzwa kuanzia lakiHabari wakuu
Siku chache zilizopita nilitembelewa na mgeni nyumbani. Alikuwa amejipulizia manukato/perfume ambayo harufu yake imebaki kwa wiki nzima sasa kwenye sofa aliyokuwa amekaa.
Kwa wajuzi wa manukato naomba kujua ni brand gani za perfume zinaweza kudumu muda mrefu kiasi hiki. Mimi ni mpenzi wa perfume lakini nyingi ninazotumia ikikaa sana kwenye nguo labda ni masaa 24.
Kuna perfume nyingi bro. Nashauri kama haujaingia kwenye upenzi wa. Perfume anza mdogo mdogo.Ulikuwa ni ugeni wa kikazi tu na mmojawapo ndiyo huyo na sina mawasiliano nae
Unajua baadhi ya majina mkuu nicheki madukani?
Natumia perfumes tangu utoto wangu mkuu sijaanza jana. Thanks nitaangalia huo uzi ulioutaja.Kuna perfume nyingi bro. Nashauri kama haujaingia kwenye upenzi wa. Perfume anza mdogo mdogo.
Anza na Body Spray za be ndogo, kisha upande taratibu.
Kuna Uzi wa perfume humu, jukwaa la Mabishoo na madada duu, kuna perfume bei ghali unapata kodi ya miezi 6 Gomz.
Nashauri anza slow.
Nashukuru sana mkuu. Nitacheki madukani.
Ila pia mkuu inaonekana hapo kwako sofa hazisafishwi mara kwa mara......?Habari wakuu
Siku chache zilizopita nilitembelewa na mgeni nyumbani. Alikuwa amejipulizia manukato/perfume ambayo harufu yake imebaki kwa wiki nzima sasa kwenye sofa aliyokuwa amekaa.
Kwa wajuzi wa manukato naomba kujua ni brand gani za perfume zinaweza kudumu muda mrefu kiasi hiki. Mimi ni mpenzi wa perfume lakini nyingi ninazotumia ikikaa sana kwenye nguo labda ni masaa 24.
Sina mawasiliano nae. Alikuwa mmoja kati ya wageni walionitembelea kikazi. Simfahamu personally.Mgeni umemuuliza?
[emoji23][emoji23][emoji23] Mkuu una roho mbaya sana, ikimwagika kwenye gari utatamani usiliguse gari mweziIkeda. Hutojuta.