carbamazepine
JF-Expert Member
- Dec 30, 2015
- 46,562
- 285,591
Ikeda. Hutojuta.
[emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ikeda. Hutojuta.
Shukran. NitaijaribuTafuta really "GIFT OF ZANZIBAR "
Hii hudumu hadi mwezi mkuu
Sikushauri[emoji23] kanauzwa buku au buku 2 sasa kana harufu kali sana .. Ndio ilikuwa manukato maarufy miaka ya 90Shukran. Nitaijaribu
Buku tena??!! Nakumbuka miaka ya 80s mwishoni na early 90 palikuwa na YOU For Men. Ilikuwa kwenye mkebe mwekundu. Enzi zile ukipaka hiyo unaonekana wa kisasa sana!! Nimeona kwenye ile list uliyonipa kuna perfume ya YOU. Ni marashi yaleyale au tofauti?Sikushauri[emoji23] kanauzwa buku au buku 2 sasa kana harufu kali sana .. Ndio ilikuwa manukato maarufy miaka ya 90 View attachment 2759406
Sent using Jamii Forums mobile app
You niliyokupa ni tofauti na ile ya mkebe ya miaka hiyo.. Sasa YU ina kiwango kuliko giftBuku tena??!! Nakumbuka miaka ya 80s mwishoni na early 90 palikuwa na YOU For Men. Ilikuwa kwenye mkebe mwekundu. Enzi zile ukipaka hiyo unaonekana wa kisasa sana!! Nimeona kwenye ile list uliyonipa kuna perfume ya YOU. Ni marashi yaleyale au tofauti?
NAKAZIAMuulize tu mgeni atakusaidia jina la perfume na inakopatikana pamoja na bei yake
Hiyo ni Stronger With You kutoka kampuni ya Emporio Armani...Buku tena??!! Nakumbuka miaka ya 80s mwishoni na early 90 palikuwa na YOU For Men. Ilikuwa kwenye mkebe mwekundu. Enzi zile ukipaka hiyo unaonekana wa kisasa sana!! Nimeona kwenye ile list uliyonipa kuna perfume ya YOU. Ni marashi yaleyale au tofauti?
Habari wakuu
Siku chache zilizopita nilitembelewa na mgeni nyumbani. Alikuwa amejipulizia manukato/perfume ambayo harufu yake imebaki kwa wiki nzima sasa kwenye sofa aliyokuwa amekaa.
Kwa wajuzi wa manukato naomba kujua ni brand gani za perfume zinaweza kudumu muda mrefu kiasi hiki. Mimi ni mpenzi wa perfume lakini nyingi ninazotumia ikikaa sana kwenye nguo labda ni masaa 24.
Hii hata miezi 6 mbona inapasua...niliendesha gari ya mdada m1 naona yeye aliamua kuimwagia mule ndani hakika ikeda haikuniacha salama.Ikeda. Hutojuta.
Sasa hiyo perfume au kuumizana vichwa?Habari wakuu
Siku chache zilizopita nilitembelewa na mgeni nyumbani. Alikuwa amejipulizia manukato/perfume ambayo harufu yake imebaki kwa wiki nzima sasa kwenye sofa aliyokuwa amekaa.
Kwa wajuzi wa manukato naomba kujua ni brand gani za perfume zinaweza kudumu muda mrefu kiasi hiki. Mimi ni mpenzi wa perfume lakini nyingi ninazotumia ikikaa sana kwenye nguo labda ni masaa 24.
Mousof hamna kituCreed, mousof
nakazia tu, hamna kitu paleMousof hamna kitu
hizo hazizidi 24 hrs.. unabaki na harufu la jasho lako..Creed, mousof
Ikeda. Hutojuta.
Zipi zinakaahizo hazizidi 24 hrs.. unabaki na harufu la jasho lako..