Haya ni maoni yangu kama mpenzi wa Simba: Ahmed Ally hatufai, anaichomesha timu

Haya ni maoni yangu kama mpenzi wa Simba: Ahmed Ally hatufai, anaichomesha timu

Nimewahi kusema na narudia kusema huyu kijana ana gundu. Tangu afike hakuna chamaana Simba ilicho fanya. Tutabadili wachezaji wote, makocha wote ila hatutafika popote.

Hana bahati na Simba.

Why not MO? Then uingie wewe
 
Back
Top Bottom