Haya ni Matunda ya filamu ya Royal Tour ndani ya Miezi miwili pekee tu, kwa hili Mama aliupiga mwingi

Haya ni Matunda ya filamu ya Royal Tour ndani ya Miezi miwili pekee tu, kwa hili Mama aliupiga mwingi

Hildaya

New Member
Joined
Jun 7, 2022
Posts
1
Reaction score
4
IMG_5774.jpg

"Ni Matunda ya filamu ya royal tour ndani ya Miezi miwili pekee tu! Watalii wafurika Tanzania".

Ikiwa ni baada ya Miezi miwili tu tangu filamu maalumu ya royal tour iliyomuhusisha rais was jamhuri ya muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan kutambulishwa rasimi nchini marekani na baadae Tanzania matalii waanza kumiminika kuja Tanzania.

Filamu hiyo iliyolenga kuendeleza na kustawisha sekta ya utalii Tanzania kwa kuonesha vivutio mbalimbali vya utalii Tanzanian bara na visiwani imeonesha kuzaa matunda mara tu baada ya miezi miwili kutoka ambapo watalii wengi wameweza kuja na kuongezeka mara dufu kutokana na filamu hiyo.

Kutokana na filamu hiyo wadau mbalimbali katika sekta ya utalii nchini wameoneshwa kufurahishwa na kuguswa na filamu hiyo kwa ongezeko la watalii nchini.

Ndani ya miezi hii miwili Tanzania Kupitia Royal Tour, tumeshuhudia ndege kubwa ya #eurowings ikileta watalii zaidi ya 300 na kuongeza safari zake kuwa itafanya huvyo mara mbili kwa wiki pale kiwanja cha ndege cha kimataifa cha KIA. .

Vile vile tumeshuhudia wachezaji maarufu wa timu kubwa duniani wakidhuru Tanzania. Ambao ni

1. Ander Herrera - PSG (France)

2. Jesus Vallejo - R. Madrid (Spain)

3. Mauro Icard - PSG (France)

Hakika mama hapo aliupiga mwingi

#MamaYukoKazini #MamaYukoKazini
 
Rais anajua kutafuta pesa sio kama yule anajua kutumia na kuharibu 😆
 

Attachments

  • Screenshot_20220607-215132.png
    Screenshot_20220607-215132.png
    214.2 KB · Views: 21
  • Screenshot_20220606-184120.png
    Screenshot_20220606-184120.png
    67.1 KB · Views: 21
  • Screenshot_20220605-144549.png
    Screenshot_20220605-144549.png
    85 KB · Views: 21
  • Screenshot_20220605-144718.png
    Screenshot_20220605-144718.png
    69 KB · Views: 21
Huyu Mhifadhi afukuzwe kazi mara moja.

Kuruhusu kishindo cha magari na watalii wengi ndani ya hifadhi kwa mpigo ni uharibifu wa mazingira na kuwasumbua wanyama.


"Ni Matunda ya filamu ya royal tour ndani ya Miezi miwili pekee tu! Watalii wafurika Tanzania".

Ikiwa ni baada ya Miezi miwili tu tangu filamu maalumu ya royal tour iliyomuhusisha rais was jamhuri ya muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan kutambulishwa rasimi nchini marekani na baadae Tanzania matalii waanza kumiminika kuja Tanzania.

Filamu hiyo iliyolenga kuendeleza na kustawisha sekta ya utalii Tanzania kwa kuonesha vivutio mbalimbali vya utalii Tanzanian bara na visiwani imeonesha kuzaa matunda mara tu baada ya miezi miwili kutoka ambapo watalii wengi wameweza kuja na kuongezeka mara dufu kutokana na filamu hiyo.

Kutokana na filamu hiyo wadau mbalimbali katika sekta ya utalii nchini wameoneshwa kufurahishwa na kuguswa na filamu hiyo kwa ongezeko la watalii nchini.

Ndani ya miezi hii miwili Tanzania Kupitia Royal Tour, tumeshuhudia ndege kubwa ya #eurowings ikileta watalii zaidi ya 300 na kuongeza safari zake kuwa itafanya huvyo mara mbili kwa wiki pale kiwanja cha ndege cha kimataifa cha KIA. .

Vile vile tumeshuhudia wachezaji maarufu wa timu kubwa duniani wakidhuru Tanzania. Ambao ni

1. Ander Herrera - PSG (France)

2. Jesus Vallejo - R. Madrid (Spain)

3. Mauro Icard - PSG (France)

Hakika mama hapo aliupiga mwingi

#MamaYukoKazini #MamaYukoKazini
 
Huyu Mhifadhi afukuzwe kazi mara moja.

Kuruhusu kishindo cha magari na watalii wengi ndani ya hifadhi kwa mpigo ni uharibifu wa mazingira na kuwasumbua wanyama.
Hawa watu wa mapambio sijui kama watakuelewa.
 

"Ni Matunda ya filamu ya royal tour ndani ya Miezi miwili pekee tu! Watalii wafurika Tanzania".

Ikiwa ni baada ya Miezi miwili tu tangu filamu maalumu ya royal tour iliyomuhusisha rais was jamhuri ya muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan kutambulishwa rasimi nchini marekani na baadae Tanzania matalii waanza kumiminika kuja Tanzania.

Filamu hiyo iliyolenga kuendeleza na kustawisha sekta ya utalii Tanzania kwa kuonesha vivutio mbalimbali vya utalii Tanzanian bara na visiwani imeonesha kuzaa matunda mara tu baada ya miezi miwili kutoka ambapo watalii wengi wameweza kuja na kuongezeka mara dufu kutokana na filamu hiyo.

Kutokana na filamu hiyo wadau mbalimbali katika sekta ya utalii nchini wameoneshwa kufurahishwa na kuguswa na filamu hiyo kwa ongezeko la watalii nchini.

Ndani ya miezi hii miwili Tanzania Kupitia Royal Tour, tumeshuhudia ndege kubwa ya #eurowings ikileta watalii zaidi ya 300 na kuongeza safari zake kuwa itafanya huvyo mara mbili kwa wiki pale kiwanja cha ndege cha kimataifa cha KIA. .

Vile vile tumeshuhudia wachezaji maarufu wa timu kubwa duniani wakidhuru Tanzania. Ambao ni

1. Ander Herrera - PSG (France)

2. Jesus Vallejo - R. Madrid (Spain)

3. Mauro Icard - PSG (France)

Hakika mama hapo aliupiga mwingi

#MamaYukoKazini #MamaYukoKazini
Hicho sio kitu cha kufurahia. Hiyo idadi ya watalii inaathiri sana hizo mbuga. Ni kama vile kumsifia nahodha kuchukua abiria 200 kwenye chombo chenye uwezo wa kubeba 50.

Amandla.....
 
Uko sahihi,hilo eneo nimeshakwenda kama mara 2 lakini sikuona idadi kubwa namna hiyo ya watalii,na ilikuwa kabla ya filamu kuchezwa,kwahiyo naona matunda yake yameanza kuonekana,hata hivyo sina uhakika kama kipindi hiki tulichonacho kwa sasa ni peak au off season...
 

"Ni Matunda ya filamu ya royal tour ndani ya Miezi miwili pekee tu! Watalii wafurika Tanzania".

Ikiwa ni baada ya Miezi miwili tu tangu filamu maalumu ya royal tour iliyomuhusisha rais was jamhuri ya muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan kutambulishwa rasimi nchini marekani na baadae Tanzania matalii waanza kumiminika kuja Tanzania.

Filamu hiyo iliyolenga kuendeleza na kustawisha sekta ya utalii Tanzania kwa kuonesha vivutio mbalimbali vya utalii Tanzanian bara na visiwani imeonesha kuzaa matunda mara tu baada ya miezi miwili kutoka ambapo watalii wengi wameweza kuja na kuongezeka mara dufu kutokana na filamu hiyo.

Kutokana na filamu hiyo wadau mbalimbali katika sekta ya utalii nchini wameoneshwa kufurahishwa na kuguswa na filamu hiyo kwa ongezeko la watalii nchini.

Ndani ya miezi hii miwili Tanzania Kupitia Royal Tour, tumeshuhudia ndege kubwa ya #eurowings ikileta watalii zaidi ya 300 na kuongeza safari zake kuwa itafanya huvyo mara mbili kwa wiki pale kiwanja cha ndege cha kimataifa cha KIA. .

Vile vile tumeshuhudia wachezaji maarufu wa timu kubwa duniani wakidhuru Tanzania. Ambao ni

1. Ander Herrera - PSG (France)

2. Jesus Vallejo - R. Madrid (Spain)

3. Mauro Icard - PSG (France)

Hakika mama hapo aliupiga mwingi

#MamaYukoKazini #MamaYukoKazini
Hii mambo waeleze wajinga wenzio sio wale tunaoelewa sekta ya utalii nchini.

Hizo safari za kina herreira kupitia kampuni ya Gosheni safaris east Africa

Ni mojawapo ya booking zilizokuwa delayed na Covid19 pandemic toka mwaka juzi.

Na huo utitiri wa magari kwenye Picha wakiwa Ngoitoktok Picnic Site ni picha za siku ya wanawake Duniani ambapo ulikuwa utalii wa ndani.

Pia tunaelewa kwamba yule kenani kihongosi anajaribu kujikosha kwa uongozi kutokana na kashfa iliyoibuliwa na Mrisho Gambo ambapo pia amehusishwa.

Sasa amekusanya vijana wa UVCCM zaidi ya elfu mbili kwenda Ngorongoro juzi kwa kile walichokiita kuunga mkono juhudi za mama.
 

"Ni Matunda ya filamu ya royal tour ndani ya Miezi miwili pekee tu! Watalii wafurika Tanzania".

Ikiwa ni baada ya Miezi miwili tu tangu filamu maalumu ya royal tour iliyomuhusisha rais was jamhuri ya muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan kutambulishwa rasimi nchini marekani na baadae Tanzania matalii waanza kumiminika kuja Tanzania.

Filamu hiyo iliyolenga kuendeleza na kustawisha sekta ya utalii Tanzania kwa kuonesha vivutio mbalimbali vya utalii Tanzanian bara na visiwani imeonesha kuzaa matunda mara tu baada ya miezi miwili kutoka ambapo watalii wengi wameweza kuja na kuongezeka mara dufu kutokana na filamu hiyo.

Kutokana na filamu hiyo wadau mbalimbali katika sekta ya utalii nchini wameoneshwa kufurahishwa na kuguswa na filamu hiyo kwa ongezeko la watalii nchini.

Ndani ya miezi hii miwili Tanzania Kupitia Royal Tour, tumeshuhudia ndege kubwa ya #eurowings ikileta watalii zaidi ya 300 na kuongeza safari zake kuwa itafanya huvyo mara mbili kwa wiki pale kiwanja cha ndege cha kimataifa cha KIA. .

Vile vile tumeshuhudia wachezaji maarufu wa timu kubwa duniani wakidhuru Tanzania. Ambao ni

1. Ander Herrera - PSG (France)

2. Jesus Vallejo - R. Madrid (Spain)

3. Mauro Icard - PSG (France)

Hakika mama hapo aliupiga mwingi

#MamaYukoKazini #MamaYukoKazini
Mkuu kwa namna ulivyosifia awamu ya sita uwe tayari kuitwa CHAWA.
 

"Ni Matunda ya filamu ya royal tour ndani ya Miezi miwili pekee tu! Watalii wafurika Tanzania".

Ikiwa ni baada ya Miezi miwili tu tangu filamu maalumu ya royal tour iliyomuhusisha rais was jamhuri ya muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan kutambulishwa rasimi nchini marekani na baadae Tanzania matalii waanza kumiminika kuja Tanzania.

Filamu hiyo iliyolenga kuendeleza na kustawisha sekta ya utalii Tanzania kwa kuonesha vivutio mbalimbali vya utalii Tanzanian bara na visiwani imeonesha kuzaa matunda mara tu baada ya miezi miwili kutoka ambapo watalii wengi wameweza kuja na kuongezeka mara dufu kutokana na filamu hiyo.

Kutokana na filamu hiyo wadau mbalimbali katika sekta ya utalii nchini wameoneshwa kufurahishwa na kuguswa na filamu hiyo kwa ongezeko la watalii nchini.

Ndani ya miezi hii miwili Tanzania Kupitia Royal Tour, tumeshuhudia ndege kubwa ya #eurowings ikileta watalii zaidi ya 300 na kuongeza safari zake kuwa itafanya huvyo mara mbili kwa wiki pale kiwanja cha ndege cha kimataifa cha KIA. .

Vile vile tumeshuhudia wachezaji maarufu wa timu kubwa duniani wakidhuru Tanzania. Ambao ni

1. Ander Herrera - PSG (France)

2. Jesus Vallejo - R. Madrid (Spain)

3. Mauro Icard - PSG (France)

Hakika mama hapo aliupiga mwingi

#MamaYukoKazini #MamaYukoKazini
Makofi!
 
Hii mambo waeleze wajinga wenzio sio wale tunaoelewa sekta ya utalii nchini.

Hizo safari za kina herreira kupitia kampuni ya Gosheni safaris east Africa

Ni mojawapo ya booking zilizokuwa delayed na Covid19 pandemic toka mwaka juzi.

Na huo utitiri wa magari kwenye Picha wakiwa Ngoitoktok Picnic Site ni picha za siku ya wanawake Duniani ambapo ulikuwa utalii wa ndani.

Pia tunaelewa kwamba yule kenani kihongosi anajaribu kujikosha kwa uongozi kutokana na kashfa iliyoibuliwa na Mrisho Gambo ambapo pia amehusishwa.

Sasa amekusanya vijana wa UVCCM zaidi ya elfu mbili kwenda Ngorongoro juzi kwa kile walichokiita kuunga mkono juhudi za mama.

Picha by UVCCM-Vijana Ngorongoro green tour!
 

"Ni Matunda ya filamu ya royal tour ndani ya Miezi miwili pekee tu! Watalii wafurika Tanzania".

Ikiwa ni baada ya Miezi miwili tu tangu filamu maalumu ya royal tour iliyomuhusisha rais was jamhuri ya muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan kutambulishwa rasimi nchini marekani na baadae Tanzania matalii waanza kumiminika kuja Tanzania.

Filamu hiyo iliyolenga kuendeleza na kustawisha sekta ya utalii Tanzania kwa kuonesha vivutio mbalimbali vya utalii Tanzanian bara na visiwani imeonesha kuzaa matunda mara tu baada ya miezi miwili kutoka ambapo watalii wengi wameweza kuja na kuongezeka mara dufu kutokana na filamu hiyo.

Kutokana na filamu hiyo wadau mbalimbali katika sekta ya utalii nchini wameoneshwa kufurahishwa na kuguswa na filamu hiyo kwa ongezeko la watalii nchini.

Ndani ya miezi hii miwili Tanzania Kupitia Royal Tour, tumeshuhudia ndege kubwa ya #eurowings ikileta watalii zaidi ya 300 na kuongeza safari zake kuwa itafanya huvyo mara mbili kwa wiki pale kiwanja cha ndege cha kimataifa cha KIA. .

Vile vile tumeshuhudia wachezaji maarufu wa timu kubwa duniani wakidhuru Tanzania. Ambao ni

1. Ander Herrera - PSG (France)

2. Jesus Vallejo - R. Madrid (Spain)

3. Mauro Icard - PSG (France)

Hakika mama hapo aliupiga mwingi

#MamaYukoKazini #MamaYukoKazini
NAOMBA NIWEKE KUMBUKUMBU SAWA KUWA, PICHA ULIYOWEKA NI YA WATALII WA NDANI (WATANZANIA)
Ipo moja ilikuwa ya wanawake (guides) walijikusanya na kujiunga wakaenda Ngorongoro nafikiri April
Ila uliyo weka ni ya Umoja wa Vijana wa CCM waliingia Ngorongoro tarehe 4 June kutokea makao makuu Dodoma
 
Hicho sio kitu cha kufurahia. Hiyo idadi ya watalii inaathiri sana hizo mbuga. Ni kama vile kumsifia nahodha kuchukua abiria 200 kwenye chombo chenye uwezo wa kubeba 50.

Amandla.....
Wajinga huwa hamuishi..

Tunatakiwa kupata watalii mil.5 by 2025 both international and domestic
 
Uko sahihi,hilo eneo nimeshakwenda kama mara 2 lakini sikuona idadi kubwa namna hiyo ya watalii,na ilikuwa kabla ya filamu kuchezwa,kwahiyo naona matunda yake yameanza kuonekana,hata hivyo sina uhakika kama kipindi hiki tulichonacho kwa sasa ni peak au off season...
Ndio ujue maana ya Royal tour,hapo tunasubiria kuhesabu mapesa tuu.
 
Uko sahihi,hilo eneo nimeshakwenda kama mara 2 lakini sikuona idadi kubwa namna hiyo ya watalii,na ilikuwa kabla ya filamu kuchezwa,kwahiyo naona matunda yake yameanza kuonekana,hata hivyo sina uhakika kama kipindi hiki tulichonacho kwa sasa ni peak au off season...
Hahahaaa...Mungu anawaona nyie watu, hii ni high season ambako northern hemisphere kuko na joto watalii wako mapumziko ya summer aisee, kitu kilifanya wasije ni COVID tu na si mambo ya filamu.
 
Hii mambo waeleze wajinga wenzio sio wale tunaoelewa sekta ya utalii nchini.

Hizo safari za kina herreira kupitia kampuni ya Gosheni safaris east Africa

Ni mojawapo ya booking zilizokuwa delayed na Covid19 pandemic toka mwaka juzi.

Na huo utitiri wa magari kwenye Picha wakiwa Ngoitoktok Picnic Site ni picha za siku ya wanawake Duniani ambapo ulikuwa utalii wa ndani.

Pia tunaelewa kwamba yule kenani kihongosi anajaribu kujikosha kwa uongozi kutokana na kashfa iliyoibuliwa na Mrisho Gambo ambapo pia amehusishwa.

Sasa amekusanya vijana wa UVCCM zaidi ya elfu mbili kwenda Ngorongoro juzi kwa kile walichokiita kuunga mkono juhudi za mama.
Propaganda bwana.

Hakuna filamu yenye impact kiasi hicho.
 
Huyu Mhifadhi afukuzwe kazi mara moja.

Kuruhusu kishindo cha magari na watalii wengi ndani ya hifadhi kwa mpigo ni uharibifu wa mazingira na kuwasumbua wanyama.
Dah!...hatari kweli kweli
 
Back
Top Bottom