Swahili Ambassador JF-Expert Member Joined Feb 18, 2018 Posts 204 Reaction score 245 Mar 20, 2018 #1 Habari zenu wakuu, naomba kujuzwa majina ya haya mawe lakini pia naomba kujuzwa kama yana thamani yoyote endapo nitayauza. Soko lake ama wanunuzi wake wanapatikana wapi kama yanauzika! Naomba msaada wenu wadau.. Natanguliza shukrani zangu za dhati. Attachments 20180320_165847.jpg 88.9 KB · Views: 40 20180320_165840.jpg 89.9 KB · Views: 33
Habari zenu wakuu, naomba kujuzwa majina ya haya mawe lakini pia naomba kujuzwa kama yana thamani yoyote endapo nitayauza. Soko lake ama wanunuzi wake wanapatikana wapi kama yanauzika! Naomba msaada wenu wadau.. Natanguliza shukrani zangu za dhati.
Job K JF-Expert Member Joined Oct 4, 2010 Posts 9,314 Reaction score 7,149 Mar 20, 2018 #2 Mkuu unasafirisha makinikia? Utafungwa Mkuu!