Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiona wao wanarusha, Crip za zamani kuwatisha wageni wao, jua nao wameogopa, unadhani wangekua wanacheza na Yanga wengefanya hayo. Ila wanajua Simba pamoja na kufungwa na AC Vita siyo timu ya kubeza.Ndugu zangu jiandaeni tu kisaikologia,maana mnaweza bebeshwa lumbesa la magoli
Yanga tuliwagonga hao Taifa na nyie vunja nahisi,kama hamtapewa gunia la magoli home and away,nitakuwa na zawadi yako nitakupaUkiona wao wanarusha, Crip za zamani kuwatisha wageni wao, jua nao wameogopa, unadhani wangekua wanacheza na Yanga wengefanya hayo. Ila wanajua Simba pamoja na kufungwa na AC Vita siyo timu ya kubeza.
Kwa hiyo ndugu zetu wapenzi wa yanga tulieni, mmalizane na Kakolanya kwanza, wanaumme ndoko nje.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sisi hatuchezi Taifa tunacheza Misri, ikifika zamu ya kucheza Taifa tutaiingelea Tunaangalia mechi iliopo mbele yetu.Yanga tuliwagonga hao Taifa na nyie vunja nahisi,kama hamtapewa gunia la magoli home and away,nitakuwa na zawadi yako nitakupa
Sawa shabiki mkata,maana unatereza Kwenye chai.......utaelewa baadayeWewe ni shabiki maandazi, zungumzia mechi yenu ya ligi inayofuata Simba achana nayo hili ni chama kubwa.
Kule mmemsindikiza kichuya tu hamna jipya lolote mnaweza litegemea mkuuSisi hatuchezi Taifa tunacheza Misri, ikifika zamu ya kucheza Taifa tutaiingelea Tunaangalia mechi iliopo mbele yetu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Basi kama hivyo wanarejea leo, Tatizo watu wa Yanga mnapandikizwa ujinga Zahera wenu, yule kufungwa ni sehemu mchezo, sasa Zaherara mkifungwa analia.Sawa shabiki mkata,maana unatereza Kwenye chai.......utaelewa baadaye
Kule mmemsindikiza kichuya tu hamna jipya lolote mnaweza litegemea mkuu
Saiz huwezi kuelewa,utaelewa pale alexandriaBasi kama hivyo wanarejea leo, Tatizo watu wa Yanga mnapandikizwa ujinga Zuhura wenu, yule kufungwa ni sehemu mchezo, sasa Zuhura mkifungwa analia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna sehemu niyoandika sielewi.Saiz huwezi kuelewa,utaelewa pale alexandria
Mpigie Rage au Manara atakuelimisha vizuri
Tulipokua tunasema kuna siku, kila mtu ataishabikia Simba, Wakati ndiyo huu, kuanzia Viongozi wa Yanga, kocha na Mashabiki wote, hakuna anaeiwaza Yanga tena ispokua Simba tu, Zahera hawezi ongea hasiitaji Simba, leo Yanga inacheza, ila Yanga wote wanaiongelea Simba inayocheza Kesho kutwa.Saiz huwezi kuelewa,utaelewa pale alexandria
Kwahiyo elimu ya Viongozi wa Simba imewaelimisha zaidi nyie Watu wa Yanga sio.Mpigie Rage au Manara atakuelimisha vizuri
andika vizuri kwanzaSawa shabiki mkata,maana unatereza Kwenye chai.......utaelewa baadaye
Simba mnajipya gani? Hadi msemaji wenu anawaita wapumbavuTulipokua tunasema kuna siku, kila mtu ataishabikia Simba, Wakati ndiyo huu, kuanzia Viongozi wa Yanga, kocha na Mashabiki wote, hakuna anaeiwaza Yanga tena ispokua Simba tu, Zahera hawezi ongea hasiitaji Simba, leo Yanga inacheza, ila Yanga wote wanaiongelea Simba inayocheza Kesho kutwa.
Hilo ndilo lengo la Simba, kuiifanya Club iwe kubwa Tanzania na Africa mzima, mimi niwatake Muendelee kuweka mada mbalimbali za kuihusu Simba, kuna kitu mnatuongezea.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hao ndo wanawajua vizuri,mmoja aliwaita mbumbumbu,mwingine anawaita wapumbavu it means anawajua vizuriKwahiyo elimu ya Viongozi wa Simba imewaelimisha zaidi nyie Watu wa Yanga sio.
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeelewa ndo maana umereplyandika vizuri kwanza
Basi watujua, vizuri nasi tunawajua vizuri, Sio wewe Gongo wazi, unafanya kazi ya kututambulisha watu tunaojuana.Hao ndo wanawajua vizuri,mmoja aliwaita mbumbumbu,mwingine anawaita wapumbavu it means anawajua vizuri