Haya Nimeacha maana mnachukia sana.

Haya Nimeacha maana mnachukia sana.

Ngareroo

JF-Expert Member
Joined
Aug 11, 2019
Posts
2,123
Reaction score
2,449
Direct to the topic,Wanajamvi wa
Jukwaa hili mmekua mkichukizwa
Kinyama na nyuzi za uyu chalii
'WASSAPE',,nakupelekea wajombii
Wengine kudiriki kuniombea Ban,
Mala Uzi ufutwe yote ni yechu tu
Me sinaga kwere na maraia wa humu
Fiade,,and I dont give a Fcuk to Em'
Sasa Uzi huu ni wa mwisho wa
Kumhusu huyu jombaa,
Picha namba1 King WASSAPE
akisubili private jet aelekee Bulgaria kwa Doctor Gilbizy kucheki afya yake.
Picha namba2 King WASSAPE ametua Nairobi kwanza kupata Breakfast, saa8 anasepa.
Picha namba3 King WASSAPE akiwa na Doctor wake Dr.Gilbizy huko Bulgaria, hali yake iko fiti anatarajia kuendelea na Tour yake..
@NgarenaroBoy.
 

Attachments

  • a1.JPG
    a1.JPG
    22.9 KB · Views: 21
  • a2.JPG
    a2.JPG
    20.1 KB · Views: 23
  • a3.jpg
    a3.jpg
    18.4 KB · Views: 24
Direct to the topic,Wanajamvi wa
Jukwaa hili mmekua mkichukizwa
Kinyama na nyuzi za uyu chalii
'WASSAPE',,nakupelekea wajombii
Wengine kudiriki kuniombea Ban,
Mala Uzi ufutwe yote ni yechu tu
Me sinaga kwere na maraia wa humu
Fiade,,and I dont give a Fcuk to Em'
Sasa Uzi huu ni wa mwisho wa
Kumhusu huyu jombaa,
Picha namba1 King WASSAPE
akisubili private jet aelekee Bulgaria kwa Doctor Gilbizy kucheki afya yake.
Picha namba2 King WASSAPE ametua Nairobi kwanza kupata Breakfast, saa8 anasepa.
Picha namba3 King WASSAPE akiwa na Doctor wake Dr.Gilbizy huko Bulgaria, hali yake iko fiti anatarajia kuendelea na Tour yake..
@NgarenaroBoy.

Kwanini unampenda mwanaume mwenzio kiasi hicho? Man Evaluate yourself !!
 
Hizi ndizo akili za vijana wa Tanganyika!

Ulichoandika hakieleweki umejaza maneno ya kihuni tu! Kuna watoto wenzako humu??

Magufuli aendelee kuwanyuka viboko mpaka akili zikae sawa sawa!
 
Hizi ndizo akili za vijana wa Tanganyika!

Ulichoandika hakieleweki umejaza maneno ya kihuni tu! Kuna watoto wenzako humu??

Magufuli aendelee kuwanyuka viboko mpaka akili zikae sawa sawa!
Aisee.!!
 
Kwanini unampenda mwanaume mwenzio kiasi hicho? Man Evaluate yourself !!
Artists always they need support from the media,,Ata ivo chaliangu umeona kuna kitu cha serious apo hadi utokwe povu kiasi icho Dingilai!!Huoni iyo zingine ni Photoshop nazitengeneza2 pia najaribu kutengeneza kama Story/series flani ivi!?Dont take things too serious#Imeisha_Iyooo
 
Back
Top Bottom