Haya Nitawauliza: Wanaoafiki waseme Ndiooo

Haya Nitawauliza: Wanaoafiki waseme Ndiooo

Hivi huu upuuzi wa kuweka herufi "H" pasipotakiwa mbona unakua kwa kasi humu JF?
Ambao~Hambao
Mnakera vilaza nyie
Halafu cha ajabu,pale panapohitajika kuweka herufi "H" hawaiweki hiyo "H" ataandika "Alafu" badala ya "halafu" au "awezi" badala ya "hawezi",mifano ni mingi sana.
 
Back
Top Bottom