Haya sasa Ali Kamwe, kesho twende kupiga kura

Haya sasa Ali Kamwe, kesho twende kupiga kura

BANDOKITITA

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2022
Posts
1,484
Reaction score
2,852
Ulimi uliuponza mdogo. Ali Kamwe ulisema mechi ni leo, kesho ni siku ya kupiga kura. Sawa basi kesho tuwahi asubuhi. Ila usisahau kugeuka nyuma maana Ibenge hajawaacha yuko sako kwa bako.

Kwa Yanga hii ikipata goli hata moja basi Israel itashinda vita huko Ghaza.
 
Back
Top Bottom