BANDOKITITA
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 1,484
- 2,852
Ulimi uliuponza mdogo. Ali Kamwe ulisema mechi ni leo, kesho ni siku ya kupiga kura. Sawa basi kesho tuwahi asubuhi. Ila usisahau kugeuka nyuma maana Ibenge hajawaacha yuko sako kwa bako.
Kwa Yanga hii ikipata goli hata moja basi Israel itashinda vita huko Ghaza.
Kwa Yanga hii ikipata goli hata moja basi Israel itashinda vita huko Ghaza.