Haya sasa HAMISA MOBETTO ndani ya maternity photoshoot Kali!!!

umezaa na nani?we humuoni mke mwenza wa hamisa ana watoto watano
Mke mwenza kwa nani??
anyway i dont know abt her family and stuff.... i feel sorry for the kids... i wish she culd understand.

Sent from my Siemens kidole juu using JamiiForum mobile app.
 
Mke mwenza kwa nani??
anyway i dont know abt her family and stuff.... i feel sorry for the kids... i wish she culd understand.

Sent from my Siemens kidole juu using JamiiForum mobile app.
[emoji3] mbona hayo mambo kwa dunia hii ni kawaida sana...
watoto wanakua wale mmoja kazaa na majizo huyu daimond hatafuti ndoa yeye !
anataka pesa tu!
 
Meona ehhh?...yaani hata haelewekagi huyu bidada!

Tandale type I guess!

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi umemsomaa,,ashukuru siku hizi sipo na jf kivile aisee,,,,haeleweki kabisa,,eti hatumjui mange,,waliokua wakichamba jf si ni sisi ulikuwaga unazuka mjadala humu mpaka ban zinatembeaa enzi hizo za blog yake
Eti mange aone wivu zari kaenda kenya na daimond kjhaa ,,wivu my foot
 
Hivi Nani kawaloga hawa dada zetu?
Kila anayebeba mimba lazima apige picha za Uchi ili kuonesha tumbo lake.
Au mimba nazo zimekuwa KIKI mjini?
Anyway, hongera yake kwa Mimba.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijui kwa nini macho yangu yametazama zaidi hapo kwenye kivufuniko cha mshono kuliko tumbo
 
Si ndo maana nakwambia tandale type!

Hivi anaijua Los Angeles bidada anakutana na kina Arnold Schwarzenegger wanahug wanapeana madili mjini, yy analeta uswahili wake wa kufananisha eti Mombasa na USA!

Huwaga kachizi haka kademu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo mzimbambwe anajua kiswahili eti maana niliandikaga kiswahili akaniblock ahahjaja,,na zile nywele zake loo na kina recho shoga zake hahahaha
Kwa hiyo lance yupo na nani now
Lance kampata bidada mniga tena nae! ila jamaa anapenda papuchi za kiafrika!

Yaani ni kata mti panda mti!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aibu Aibu n
Kama kawaida ya mastaa wetu wa kibongo hupendelea sana wanapokuwa wajawazito kugonga maternity photoshoot.
Huu sasa ndio muonekano wa Hamisa Mobetto katika maternity photoshoot [emoji116]

-Ndumilakuwili-
Aibu Aibu nani ana shida ya kuona tumbo la mjamzito? Sasa mbona hakuna mhusika anayelikumbatia/kubusu? Au ni ujauzito wa vitro Fertilisation au ni Surrogate Mother?
 
Ha ha ha ha...hivi hawa warembo huwa wana wazazi?!kibongo bongo naona maadili hayazingatiwi

Sent from my TV
 
Mange ana details zote za mimba hii na yeye ndiye anaemfahamu biological father. Sijiu alifanya lini DNA test.
Mange anachuki binafsi kwa zari tena chuki zake zipo dhahiri shahiri lakini ndio hivo mwenye nacho atazidi kuongezewa ye apambane na uchumi wake na harakati.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…