Haya sasa jionee elimu bora ya CCM

Elineema Mosi

JF-Expert Member
Joined
Jan 19, 2012
Posts
255
Reaction score
72
Ndugu wana JF,
Jina langu ni Elineema J Mosi.
Sasa jionee picha ya moja ya shule jimboni kwa Mwigulu Mchemba, ujionee hiyo elimu bora anayosema inatolewa na ccm yake. Watu wanajinasibu na kujipambanua kumbe jimboni kwao kupo hivi. Akibisha labda halijui jimbo lake kwa mipaka vizuri, nitaleta ushahidi hapa jf na maneno ya walimu husika ndani ya hiyo shule.
Asanteni.
 

Attachments

  • 67504_368610516593286_785350001_n.jpg
    15.7 KB · Views: 422
yaani hawa watajua kusoma nakuandika ndani ya miaka 10 ila from there hawawezi endelea na kufikia nyota zao kamwe.kwa tunakoelekea watoto wa wenye nacho tu ndio wanaopata elimu bora wa maskini wanaishia hapo hapoa,ili huko mbeleni wamaskini watakuwa hawawezi kukompete kwenye soko la ajira ,na pale tutabaki kutwaliwa na matajiri nakunyonywa ,kiongozi atakayeweza ithamini elimu nakuwasaidia maskini wkapata elimu nitampa kura yangu ya uraisi hata kama ni lowassa
 
haya mwigulu tunakuhitaji hapa utueleze
 
Kwa kuwa Mh. Mwigulu ni member aje
ajibu hoja kama anakubali ama anakanusha.
 
:A S shade:
Ndugu wana JF,
Jina langu ni Elineema J Mosi.
Sasa jionee picha ya moja ya shule jimboni kwa Mwigulu Mchemba, ujionee hiyo elimu bora anayosema inatolewa na ccm yake. Watu wanajinasibu na kujipambanua kumbe jimboni kwao kupo hivi. Akibisha labda halijui jimbo lake kwa mipaka vizuri, nitaleta ushahidi hapa jf na maneno ya walimu husika ndani ya hiyo shule.
Asanteni.
 

He haiwezekani kabisa ndugu zangu! Kumbe huyu jamaa na makeke yote wala HAJUI ALITENDELO. E bwana wetu msaidie mtumishi wako kuelewa ni kipi anatakiwa kufanya ili hapo baadae NAFISI ISIJE KUMSUTA.
 
Ninachofurahia ni kwamba wole wenu mnao soma na kupata fedha nyingi kwani hukotuendako mtazila kwa tabu sana maana tuta wawinda na hata mkitupa kazi ya ulizi na uhausi boi na uhausi geri tutashirikiana na kaka zetu majambazi kuwa tungua......
 
Huo ubao ukigongwa na chaki si utaporomoka?

Mwigulu hawezi jua huko, jimbo lake ni CHADEMA
 
Wakati wa uchaguzi wananchi wa mitaa hiyo watapelekewa kapelo, vipakti vya chumvi, khanga na ubwabwa tu, halafu wanachagua kwa kishindo! Hapo mimi ndo nilishachoka kabisa watu kudanganyika kirahisi hivyo utadhani sijui wamerogwa?
 
Halafu jamaa yuko busy kutusu Chadema Bungeni.
Aibu sana .
 
Mkuu, Mwigulu hawezi jua hiyo shule, kazi ya kung'oa kucha na kutuma 50 kwenye M pesa atamwachia nani?
 
Ukweli kama huu hawautaki,si ajabu akasema hii shule iko kwenye jimbo la Slaa.Hii mijitu mijinga sana
 
ninachofurahia ni kwamba wole wenu mnao soma na kupata fedha nyingi kwani hukotuendako mtazila kwa tabu sana maana tuta wawinda na hata mkitupa kazi ya ulizi na uhausi boi na uhausi geri tutashirikiana na kaka zetu majambazi kuwa tungua......
utakaa sana what goes up not necessary to come down
 
Halafu huo ubao wa kufundishia utake usitake utakula Break tu.Seru-rope sana hii mijitu.
 
Tuambie shule hii inaitwaje, ipo kijiji gani, kata gani na tarafa gani asije kwepa hapa
 
Sijakupata kiongozi una maana gani luteni? Wamaanisha mimi mjinga? So huyo yule mika porojo na kusahau jimboni kwake ndio wa maana sio? changamka kijana Taifa linahitaji watu makini .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…