Haya sasa, Mwenzi anahitajika huku

Haya sasa, Mwenzi anahitajika huku

Mkuu kwa mfano nikikuroga ntakuwa nimekosea..?
Huo muandiko wa jamaa unafanana vipi na mwandiko wangu..?
Jamaa hana vibwagizo kama vyangu!.. mi huwa naweka hutu tu dot ... Pia yale maneno maarufu Kama komamanga ama kilamba mwiko au karungu yeye ama kenge huwa ni Mara chache kukosekana!..
Hata hivyo mi sitafuti manzi kwa sasa..😜
 
Mkuu kwa mfano nikikuroga ntakuwa nimekosea..?
Huo muandiko wa jamaa unafanana vipi na mwandiko wangu..?
Jamaa hana vibwagizo kama vyangu!.. mi huwa naweka hutu tu dot ... Pia yale maneno maarufu Kama komamanga ama kilamba mwiko au karungu yeye ama kenge huwa ni Mara chache kukosekana!..
Hata hivyo mi sitafuti manzi kwa sasa..😜
Mi mwenyewe nilishangaa eti miandiko inafananaje wakati mi mwandiko wangu ni kama bata kapita😂
 
Back
Top Bottom