Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Mkuu kwa mfano nikikuroga ntakuwa nimekosea..?Mwandiko wa KENZY
PoleeeeDistance relationship.
Mtoto wa kike alipata scholarship ya kwenda Australia aiseee, akajisahau aiseee! Akashare tunda lake, kurudi ana mimba.
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]Nimekucheki fb Mbona umeoa?
Hakunaga mwanamke mtamu. Utamu upo kwenye miili yetu wenyewe wanaume, pale tunafataga utelezi tu ambao tukisugua ndo tunajiskia utamu.Wewe kweli hujui mapenzi. Hao wafupi na wanene watamu sana. Hutajuta
Mi mwenyewe nilishangaa eti miandiko inafananaje wakati mi mwandiko wangu ni kama bata kapita😂Mkuu kwa mfano nikikuroga ntakuwa nimekosea..?
Huo muandiko wa jamaa unafanana vipi na mwandiko wangu..?
Jamaa hana vibwagizo kama vyangu!.. mi huwa naweka hutu tu dot ... Pia yale maneno maarufu Kama komamanga ama kilamba mwiko au karungu yeye ama kenge huwa ni Mara chache kukosekana!..
Hata hivyo mi sitafuti manzi kwa sasa..😜
Asantee. Nisaidie kushare huko street kwako.Poleeee
Utamu wa mwanamke wala hautokani na kimo chakeWewe kweli hujui mapenzi. Hao wafupi na wanene watamu sana. Hutajuta