Haya sasa, Nairobi kinara mji mchafu kulindukia E. Africa Miji michafu zaidi Afrika 2017 (WHO)

Haya sasa, Nairobi kinara mji mchafu kulindukia E. Africa Miji michafu zaidi Afrika 2017 (WHO)

Wewe tambua kwamba mnatuwakilisha vyema jumuiya ya Africa Mashariki kwenye swala la ukapurwa hayo ma speculations mengine won't change none.
Weka hiyo link ya WHO, Millardayo ni blog ya kizushi hata nynyi watz hamuikubali.
 
Haya sasa Nairobi ndio Jiji chafu kupindukia* kuliko Jiji lolote Africa Mashariki na kati report ya WHO imesema, Tanzania yaongoza kwa kuwa na miji misafi huku ikiwa na idadi kubwa ya miji misafi na yenye kupendeza
6714417903_a4c6b53cd9_z.jpg

Kila mwaka Shirika la Afya Duniani ‘WHO’hutoa ripoti ya hali ya Mazingira Duniani ambapo mwaka 2017 WHO pia imetoa list mpya ya miji 38 michafu na yenye hali mbaya ya hewa barani Africa.

Nigeria inaongoza list kwa kuwa na miji mingi michafu ikiwa na miji 12 ikifuatiwa na Afrika Kusini ambayo imeingiza miji 8 kwenye list hiyo. Jiji la Nairobi limetajwa kuwa chafu kwa upande wa majiji makubwa Afrika Mashariki hukuMorogoro ukiwa mji pekee kwenye list hiyo kutoka Tanzania.

Capturemnbvc.png
Kwani Kampala iko west africa?
 
Lakini swala LA uchafu ni lakiutawala ambalo linaweza malizwa Kwa mda mfupi lakini kiuchumi wenzetu Kenya wako vizuri ukanda huu e.afrika!
 
Truth or not that Nairobi is the dirtiest in EA, Nairobi ni kuchaff cku hizi, and sumbody needs to be shown the door for this.

[HASHTAG]#KideroMustGo[/HASHTAG].
 
Truth or not that Nairobi is the dirtiest in EA, Nairobi ni kuchaff cku hizi, and sumbody needs to be shown the door for this.

[HASHTAG]#KideroMustGo[/HASHTAG].
Now you are talking
 
apa naeza kubaliana na hii report...kidero ameharibu nairobi.useless guy.kuchimbachimba tu akipanda nyasi zenye hazimei,saa ii anazilima tena sijui anataka kupanda bangi ama nni...
Nimeshawaona nyie Wakenya humu JF mmoja wenu akikubali kuhusu a certain bad news about you wengine wote mnakubali akipinga wengine wote mnapinga mpo kama nyumbu.
 
kusema ukweli nairobi.na jiji moja chafu sana yani hapo hawajadanganya tena usiombee ukaenda siku mvua imenyesha..ukaenda maeno kama ya sokon muthurwa mjini kati kabisa ndio utajuta kuzaliwa,ukizingatia sisi watanzania tumezoea kuvaa sendles hapo ni kukanyaga tope mix uozo na mavi wao wameshajizoelea kuvaa gumboots.kinachoisaidia nairobi ni baridi tuu isingekuwa kuna baridi,kipindupindu ndio pangekuwa nyumbani kwake.
 
Nimeshawaona nyie Wakenya humu JF mmoja wenu akikubali kuhusu a certain bad news about you wengine wote mnakubali akipinga wengine wote mnapinga mpo kama nyumbu.
everybody has his or her own opinion pal...tunadisagree tena sana but mwenye utamskia akisema kidero amefanyia kitu nai ni muongo.either ukabila unamsumbua ama hajielewi.its out there and everybody knows he has failed
 
Mimi naikubali it's my primary source 😀😀
Tumeikubali tu juu mazee, Nairobi usafi sikuizi kumedorora kiusafi, kwa hivyo kuna kaukweli kwenye hiyo ripoti.
Lakn wewe umeleta hii ripoti kwa nia mbaya ya kutukejeli, ndo maana wakenya wanajaribu kujitetea, juu unaona hapo kwa list, Kampala ndio imetajwa hapo kama jiji kuu chafu zaidi. Lakini wewe umesema Nairobi ndio " kinara".
 
Haya sasa Nairobi ndio Jiji chafu kupindukia* kuliko Jiji lolote Africa Mashariki na kati report ya WHO imesema, Tanzania yaongoza kwa kuwa na miji misafi huku ikiwa na idadi kubwa ya miji misafi na yenye kupendeza
6714417903_a4c6b53cd9_z.jpg

Kila mwaka Shirika la Afya Duniani ‘WHO’hutoa ripoti ya hali ya Mazingira Duniani ambapo mwaka 2017 WHO pia imetoa list mpya ya miji 38 michafu na yenye hali mbaya ya hewa barani Africa.

Nigeria inaongoza list kwa kuwa na miji mingi michafu ikiwa na miji 12 ikifuatiwa na Afrika Kusini ambayo imeingiza miji 8 kwenye list hiyo. Jiji la Nairobi limetajwa kuwa chafu kwa upande wa majiji makubwa Afrika Mashariki hukuMorogoro ukiwa mji pekee kwenye list hiyo kutoka Tanzania.

Capturemnbvc.png
Ulichunguza wanaongelea kuhusu uchafu wa aina gani????? hapa haongelei uchafu vile unavyo fikiria, wanaangalia mambo kama hali ya hewa (Air quality)----- Miji mengine midogo kama hio morogoro ni uchafu unasababisha hewa kuharibika lakini miji mikubwa kama jo'berg SA, Port Louis,Nairobi, Kampala, hali mbaya ya hewa inasababishwa na moshi wa magari mengi barabarani.. Ndo maana unaona miji ya SA imejaa hapo manake huko wako na magari mengi na pia industries zimejaa..... Naijeria nao wako wengi kwahivyo hata kama magari ni 50% bado ni mengi sanan na yanachangia uharibifu wa hewa, pia Nigeria wako na oil exploration nyingi ambayo inachafua hewa na mazingira
 
sasa hili ni jambo la kulinganishia? uchafu unaweza ukamalizwa kwa miezi micache tu ila ukija kwenye mambo ya uchumi, haiwezekani tz ikaipita Kenya kwa muda mfupi hivi..Pili, ukiona watu wa kuleta bad news kila uchao kama hawa, IQ yao lazma ni ndogo kwel kwel....huwezi ukamwona mkenya ameleta habari ya kuchafulia tz jina...instead, huwa wanaleta habari za maendeleo ya nchi yao kenya...
Time will tell. Ukiwa mwongo uwenakumbukumbu unasema hakuna mkenya aliyeleta Uzi wakuichafua tz?
 
Back
Top Bottom