Mabonde kwinama nunueni tu na nyieManunuzi fc a.k.a mbumbumbu fc wazee wa maujanja ujanja lakini uwanjani zero, vipi huko mbeya kama hamjatanguliza ‘kitu kidogo’ mta gongwa tuu
Hatuna pesa ya kuhonga na kuwanunua marefa au tim pinzani, shuguli hiyo anaiweza dogo Mo na genge lake la matapeli wanaomzunguka!Mabonde kwinama nunueni tu na nyie
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16]Utopolo #lives matters
Mechi yenu na azam mlihonga ili mtoe drawYaani TAKUKURU ingekuwa inafanya kazi zake barabara, msimu huu unaoshia simba ingekuwa tayari imeisha shuka daraja, maana bila kitu kidogo simba kamwe hawawezi shinda tim yoyote ile hata kama ni daraja la3....,,,
Tulieni sasa kama hamna hela, kelele za niniHatuna pesa ya kuhonga na kuwanunua marefa au tim pinzani, shuguli hiyo anaiweza dogo Mo na genge lake la matapeli wanaomzunguka!